kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 716
Leo nimechoswa na gazeti la daily news ambalo nilifurahi kukuta ndani kuna tangazo la nafasi za kazi TRA lakini wameweka vigezo kuwa graduates wanaotakiwa ni waliomaliza Bachelor mwaka2011 na wale wa nyuma lazima wawe na kaelimu cha ziada hivi, kweli mimi wa mwaka 2010 kurudi nyuma ndo sistahili kuajiriwa?au hiyo masters au postgraduate ningeitoa wapi wakiwa hawatoi mikopo kwa postgraduate?