hiyo ndo wameona njia ya kuongeza mapato badala ya kubuni vyanzo vipya yahani wamekaa tu pale na nothing new to them na wanapokea mishahara mikubwa for nothing. Ilitakiwa wawe na kitengo cha research kwa ajili ya kuangalia opportunities za vyanzo vipya na sio kuzidi kuwapandishia gharama za maisha wananchi.
Navoona wanataka kudhibiti uingizaji wa magari nchini, kwa sasa imekuwa fujo sana
Navoona wanataka kudhibiti uingizaji wa magari nchini, kwa sasa imekuwa fujo sana
Wadhibiti hivyo wakiamini kwamba usafiri wa umma upo madhubuti lakini sivyo hali ilivyo sasa hivi,hii ni dalili ya kutengeneza matabaka ya walio nacho na wasio nacho ambapo ni hatari kubwa kwa usalama wa nchi yetu haswa wasiokuwa nacho wanapoendelea kuongezeka...
Na pia uingizaji sio fujo ni mindombinu mibovu ndio inayosababisha kuonekana gari nyingi barabarani..
Hata hao wanaobuni upuuzi kaa huu pengine wanadhani wao hawataguswa na haya maamuzi. Ni kweli huenda hivi sasa wanaendeshwa na magari ya serikali, au wanajua wapi watapenya wakiagiza magari yao huko, lakini with time itafika wakati watastaafu au wataachishwa kazi kipato kitayumba au connection zitakwisha hapo ndio watapojua uchungu wa mkuki wanaounoa hivi sasa.duh! Tutanunua magari kweli????
Kweli kabisa hapa wamechemka..!!Mkuu kweli inashangaza sana! Kwa vigezo hivyo wanataka kusema kwa mfano gari Cresta la mwaka 2000 lilotembea km 12,000 ni sawa na gari hilo hilo lilotembea km186,000! Au lilopatwa na ajali.
Huu ni ujinga, they should go back to the drawing board!