SUYA
Senior Member
- Jun 24, 2009
- 131
- 21
Niko Hapa Tra samora nakata road lincece nimeomba ruhusa kazini tangu asubuhi na mapema,nimewahi kabla hawaja fungua,nimeshalipia bank nasubiri hyo stiker malalamiko nikiyokutana nayo yamenichosha .kwan wapo waliolipia tangu tar 27/6 na hawaja pata .najiuliza swali kwa usumbufu huu watu wataacha kuchakach
ua kweli? nawasilisha.
ua kweli? nawasilisha.