TRA: Hivi huu ndio utendaji bora? Bora mfutwe tu...

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
24,889
11,285
Najua kuna wadau wa TRA humu jamvini

for the past 8 weeks tumekua tunashuhudia mambo mengi sana ya ajabuajabu kutoka TRA.. personally kuna incidences tatu nimezipata
  1. ya kwanza mliuplift gari na mkalipwa lakini baada ya all clear lile gari likazuiwa getini at hiyo valuation imekosewa... sasa nauliza makosa yenu yanakuwaje adhabu yangu?? je mwaweza beba makosa yangu?? ni wiki ya tano sasa mnajizungusha tu
  2. jingine ni vitu visivyotozwa kodi, mmeleta utaratibu wa kupitia valuation na sasa tuna mwezi na nusu mnashindwa hata ku-clear makopyuta na kila mnapojaribu kuyatoa mnakosea documents
  3. kwa sasa mmeonesha wazi hamna ccordination ya mipango yenu kwani tumehangaika wiki ya tatu sasa na kila idara inaonekana haijui idara nyenzake infanya nini... hivi kweli haya ndio maanalizi ya kuinua uchumi na kutuondolea kero???
  4. Tumekimbilia mikoani, mmecentralise systems ambazo hata nyie wenyewe hamzielewe...
mnatutesa na kutuumiza watanzania wenzenu sana.... AU NI MBINU YA KUCHANGISHA PESA ZA KAMPENI KWA KUTUMIA STORAGE CHARGES ZETU?? HII SI LAANA?
 
hehehehe!
wewe nadhani unahitaji BAN!

kuna parameters ambazo nadhani hujaziangalia kwenye sredi yako...!

ngoja nikupigie wewe
 
Najua kuna wadau wa TRA humu jamvini

for the past 8 weeks tumekua tunashuhudia mambo mengi sana ya ajabuajabu kutoka TRA.. personally kuna incidences tatu nimezipata

  1. ya kwanza mliuplift gari na mkalipwa lakini baada ya all clear lile gari likazuiwa getini at hiyo valuation imekosewa... sasa nauliza makosa yenu yanakuwaje adhabu yangu?? je mwaweza beba makosa yangu?? ni wiki ya tano sasa mnajizungusha tu
  2. jingine ni vitu visivyotozwa kodi, mmeleta utaratibu wa kupitia valuation na sasa tuna mwezi na nusu mnashindwa hata ku-clear makopyuta na kila mnapojaribu kuyatoa mnakosea documents
  3. kwa sasa mmeonesha wazi hamna ccordination ya mipango yenu kwani tumehangaika wiki ya tatu sasa na kila idara inaonekana haijui idara nyenzake infanya nini... hivi kweli haya ndio maanalizi ya kuinua uchumi na kutuondolea kero???
  4. Tumekimbilia mikoani, mmecentralise systems ambazo hata nyie wenyewe hamzielewe...

mnatutesa na kutuumiza watanzania wenzenu sana.... AU NI MBINU YA KUCHANGISHA PESA ZA KAMPENI KWA KUTUMIA STORAGE CHARGES ZETU?? HII SI LAANA?

Thank you very much for this useful post! Need I say again?
Mimi Binafsi ni Muathirika wa hili!! Gari yangu wali uplift kwa Dola $200
Kuepuka usumbufu nikaona nilipe hiyo kodi tu. ila Roho iliniuma sana!
Naomba kuuliza jamani. Ku uplift ni utaratibu wa TRA? Huu Mchezo umeongezeka sana kuanzia mwezi wa Tisa.
CCM you have an Upper hand on this!!
Jamani wadau kama nina TT receipts! E-mail correspondents!! what else do I need to provide ndio hawa mabwege waamini Value Niliolipia gari?
Mimi ni mtanzania ninaye ipenda Nchi yangu. Kuna uozo mwingi sana hapo TRA. Endeleeni kutunyanyasa Tu. Dawa yenu itaiva October 31.
sasa nimeamua kula na nyinyi sahani moja! hizo gari bora niwaachie lakini sitalipa an Extra Amount for someone who need to be bribed so that I get my right!! achaaani upuuzi jamani.
 
Mimi nina mzigo toka mombasa wiki sasa lori lipo horohoro tunasubiri tra waseme lini tulipie!huku wanasema bajeti ni tegemezi,jee fikiri una chemicals za kiwanda si utachanganyikiwa,muda zinatoka zimesha expire!mengi alikimbiwa na watengenezaji wa colgate,lux kutokana na ukiritimba wa tra!ccm inalaumu tpa badala ya tra.uwekezaji ktk mazingira haya ni hadithi
 
Hivi hili swali kwanini hakuulizwa mdanganyika ila siku ya muulize rais @ yahoo.com TBC!
 
frankly speaking these people are problematic, tatizo wana introduce systems mpya bila kuwapa training watu wao, wanaofanya kazi wengine wanaenda training mabos wat du u expect? eti pamoja tulijenge taifa letu kwa mtindo huu kweli???. humu ndani najua kuna wadau wa TRA wafikishieni taarifa plsss
 
Thank you very much for this useful post! Need I say again?
Mimi Binafsi ni Muathirika wa hili!! Gari yangu wali uplift kwa Dola $200
Kuepuka usumbufu nikaona nilipe hiyo kodi tu. ila Roho iliniuma sana!
Naomba kuuliza jamani. Ku uplift ni utaratibu wa TRA? Huu Mchezo umeongezeka sana kuanzia mwezi wa Tisa.
CCM you have an Upper hand on this!!
Jamani wadau kama nina TT receipts! E-mail correspondents!! what else do I need to provide ndio hawa mabwege waamini Value Niliolipia gari?
Mimi ni mtanzania ninaye ipenda Nchi yangu. Kuna uozo mwingi sana hapo TRA. Endeleeni kutunyanyasa Tu. Dawa yenu itaiva October 31.
sasa nimeamua kula na nyinyi sahani moja! hizo gari bora niwaachie lakini sitalipa an Extra Amount for someone who need to be bribed so that I get my right!! achaaani upuuzi jamani.

Mkuu laiti ungejua maumivu niliyonayo usingesema

baadhi ya vifaa vilikua vya misaada kwa vijana wapate ajira... sasa ni mwezi na vijana wale (graduates) wamefulia

sijui nini hatima ya TRA kwa mwendo huu
 
Najua kuna wadau wa TRA humu jamvini

for the past 8 weeks tumekua tunashuhudia mambo mengi sana ya ajabuajabu kutoka TRA.. personally kuna incidences tatu nimezipata
  1. ya kwanza mliuplift gari na mkalipwa lakini baada ya all clear lile gari likazuiwa getini at hiyo valuation imekosewa... sasa nauliza makosa yenu yanakuwaje adhabu yangu?? je mwaweza beba makosa yangu?? ni wiki ya tano sasa mnajizungusha tu
  2. jingine ni vitu visivyotozwa kodi, mmeleta utaratibu wa kupitia valuation na sasa tuna mwezi na nusu mnashindwa hata ku-clear makopyuta na kila mnapojaribu kuyatoa mnakosea documents
  3. kwa sasa mmeonesha wazi hamna ccordination ya mipango yenu kwani tumehangaika wiki ya tatu sasa na kila idara inaonekana haijui idara nyenzake infanya nini... hivi kweli haya ndio maanalizi ya kuinua uchumi na kutuondolea kero???
  4. Tumekimbilia mikoani, mmecentralise systems ambazo hata nyie wenyewe hamzielewe...
mnatutesa na kutuumiza watanzania wenzenu sana.... AU NI MBINU YA KUCHANGISHA PESA ZA KAMPENI KWA KUTUMIA STORAGE CHARGES ZETU?? HII SI LAANA?

wenzako huwa wanasusa kabisa na maudhi ya hao jamaa.
 
Wakuu hii mada nyeti, (lakini acheni ukali wa manung'uniko). Tusiandikii mate na wino upo. Tuwaombe JF watupe mtu wao aje hapa atufundishe. Au tumtume mtu wetu akaeleweshwe. Sheikh, Kuna kauhuru ka vyombo vya habari. Hata wazee wanavikubali. Tutamtuma mwana JF mwenzetu apate interview labda kapicha kamoja au tuwili. Unajua hawa ni wahasibu, muhasibu akiwa mwizi lini utaendelea, natua wako busy apo nitaelewa. Sio wafanya kazi wetu ni wafanyakazi wa siri-kali. haya, interview ya redio basi alafu tunafanya mp3. Hii ndio department inatakiwa itengenezwe sana baada ya usalama wa taifa (the boys). Ebu jamani tuwasaidieni. Wabunifu USA hatutapendelea. Tutatengeza system based on current rules and regulation. alafu tutawafundisha wadau entrprenurials and Financial Literacy,. Department nyingine ni Customs. Hawa ndio wanatakiwa wawe pale bandarini, wale TRA pale bandarini sio department yao. Yaani hapo kuna ubadhirifu wa mali ya umma. he wakuu tazameni, Bandarini kuna customs ambao kazi yao ni tarifs. na kukamata magendo. Tayari kuna polisi wa duty, sasa hawa TRA hapa bandarini wanatafuta nini aanzia na hilo swali, ukifikia kahawa ya tatu, utakua umechuja hizi khabari kiasi ya kutosha. Tungependa wana JF kusapoti Wana WABUNIFU USA. ni sisi hawa jamaa zenu wa California, lakini tunaexpand rapidly. Plenty of managemet exparties on our Board of Directors with some Tangible Networks of Good People. Tunahitaji wadau, watusaidie our expansion in Dar. Good plans toilered toward poverty elliviation the UNITED NATION MANDATE BY 2015 all countries in Africa are behind in getting situation to improve. Any Govenement that will be in Ikulu will focus on this one. That is why oppositions are pointing a finger at poverty but they too are thinking of this very issue as we communicate. WABUNIFU USA has alredy done feasebility study done in 2008 pretty current huh? we did it on Business Management, on Two most likely to produce a good sample with comfortable margin of error. We got it. Join me on this one please, we will help lot and lots of wajasirimali.
 
Hii ndiyo Tanzania inayojengwa na watu wake.

Mimi naogopa kuingia ktk madaraka kwa sababu siwezi kuvumilia uzembe kama huu na walah watu watatengana na wapendwa wao endapo ningekuwa kiongozi.

TRA ni mkono mwingine wa watawala (CCM) kukusanya pesa za kukiendeshea na kupromoti walarushwa.
 
for the past 8 weeks tumekua tunashuhudia mambo mengi sana ya ajabuajabu kutoka TRA.. personally kuna incidences tatu nimezipata

Hapo mkuu Acid naona unashindwa kuunyosha mkono.
Wao wanakutengenezea mazingira ya kuwahonga sasa wewe hujagundua ukikata kidogo mbona fasta.
Ukikomaa gari itaozea bandarini hapo hao jamaa hawafai.
 
Hapo mkuu Acid naona unashindwa kuunyosha mkono.
Wao wanakutengenezea mazingira ya kuwahonga sasa wewe hujagundua ukikata kidogo mbona fasta.
Ukikomaa gari itaozea bandarini hapo hao jamaa hawafai.
tutahonga wangapi sasa?? si wajitangaze tu kwamba na wao wanauza kama machangudoa basi tununue.... wanakera sana TRA
 
nimejaribu sana kukwepa kuhusisha TRA na CCM lakini inaonekana siwezi kutenganisha maana sijaona jamaa wanazungumzia nini kuhusu kuboresha hii institution ambayo kwa kiasi kikubwa inaharibu mahusiano ya kibiashara na nachi jirani
 
Suala hili limejirudia mara nyingi sana bila sababu za msingi sana. Mamlaka ya Mapato Tanzania inapaswa kuwa consistent katika kazi zake. Hoja za mada hii zimejitokeza kwa wengi na kwa gharama za wateja hali kwama:
  • ukadiriaji wa kodi hufanyika bila mteja kuonana na mkadiriaji;
  • nyaraka zinazotumika hazitambuliwi na wale wanaoitwa Wharf, wao wanatumia macho kubuni bei
  • hakuna hatua zinazochukuliwa iwapo kulikuwa kweli na makosa ya ukadiriaji kwa "anayekose"a kila mara halafu wale wa getini ndo wanarekebisha kwa makubaliano maalum (this is more serious);
  • ukimuuliza meneja wa Long Room tatizo lilikuwa ni nini mbona anazuiliwa tena kwa kulipa kidogo, anasema hao ni wengine kabisa wala hawezi kuwaingilia;
Hizi concern ni vema zifike kwa Wakuu wa TRA iwapo hawajui ili Nchi iwe na huduma zenye viwango vinavyotabirika kuliko kila mtu ni Mungu kwenye kakitengo

Najua kuna wadau wa TRA humu jamvini


for the past 8 weeks tumekua tunashuhudia mambo mengi sana ya ajabuajabu kutoka TRA.. personally kuna incidences tatu nimezipata
  1. ya kwanza mliuplift gari na mkalipwa lakini baada ya all clear lile gari likazuiwa getini at hiyo valuation imekosewa... sasa nauliza makosa yenu yanakuwaje adhabu yangu?? je mwaweza beba makosa yangu?? ni wiki ya tano sasa mnajizungusha tu
  2. jingine ni vitu visivyotozwa kodi, mmeleta utaratibu wa kupitia valuation na sasa tuna mwezi na nusu mnashindwa hata ku-clear makopyuta na kila mnapojaribu kuyatoa mnakosea documents
  3. kwa sasa mmeonesha wazi hamna ccordination ya mipango yenu kwani tumehangaika wiki ya tatu sasa na kila idara inaonekana haijui idara nyenzake infanya nini... hivi kweli haya ndio maanalizi ya kuinua uchumi na kutuondolea kero???
  4. Tumekimbilia mikoani, mmecentralise systems ambazo hata nyie wenyewe hamzielewe...
mnatutesa na kutuumiza watanzania wenzenu sana.... AU NI MBINU YA KUCHANGISHA PESA ZA KAMPENI KWA KUTUMIA STORAGE CHARGES ZETU?? HII SI LAANA?
 
Suala hili limejirudia mara nyingi sana bila sababu za msingi sana. Mamlaka ya Mapato Tanzania inapaswa kuwa consistent katika kazi zake. Hoja za mada hii zimejitokeza kwa wengi na kwa gharama za wateja hali kwama:
  • ukadiriaji wa kodi hufanyika bila mteja kuonana na mkadiriaji;
  • nyaraka zinazotumika hazitambuliwi na wale wanaoitwa Wharf, wao wanatumia macho kubuni bei
  • hakuna hatua zinazochukuliwa iwapo kulikuwa kweli na makosa ya ukadiriaji kwa "anayekose"a kila mara halafu wale wa getini ndo wanarekebisha kwa makubaliano maalum (this is more serious);
  • ukimuuliza meneja wa Long Room tatizo lilikuwa ni nini mbona anazuiliwa tena kwa kulipa kidogo, anasema hao ni wengine kabisa wala hawezi kuwaingilia;
Hizi concern ni vema zifike kwa Wakuu wa TRA iwapo hawajui ili Nchi iwe na huduma zenye viwango vinavyotabirika kuliko kila mtu ni Mungu kwenye kakitengo

Katika taasisi muhimu na nyeti nchini ni TRA, kama hawa jamaa wataamua kufanya kazi yao kwa umakini wa hali ya juu tutasonga mbele mapema, lakini utasikia mizingo mingine inapita bila kulipiwa ushuru, mingine ndo hivyo wanacompensate kupitia kwa wenye kidogo.
Sina hamu na hawa jamaa, bora ukaingizia gari Mombasa kuliko Dar es salaam maana kutoka bandarini tu kuna watu kijiji kizima inabidi uwahonge.
 
Solution is to change top management as it has never considered that this time is not for ubabaishaji rather, it is time for credible determination.
 
Tatizo wapenda hela (wachagga ) ndiyo wajemaa huko ,wanaharibu hata utaratibu wa kazi . nilishawahi kulipishwa kamzigo kangu kutoka Ughaibuni sina hamu .
 
Back
Top Bottom