nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
TRA imetangaza vita na CDM,imeanza kuifanyia uchunguzi wa kukwepa KODI,HI mamlaka siko zote huwa naiita chombo cha CCM cha kukandamiza wale wanaoikaidi au kwa wale au Taasisi inayodhaniwa ni hawaipendi CCM au kwa namna moja au nyingine wapinzani wa CCM wanasaidika kutoka kwao.Mimi ninao mfano hai wakati Mrema lyatonga akigombea uraisi kwa kupitia NCCR mara kwanza,katika kampeni zake mkoani Iringa tajiri mmoja alikuwa anamiliki hoteli pale mjini kama sikusahau ilikuwa inaitwa Living light mmiliki nakumbuka alikuwa anaitwa jina la mwisho ni Ilomo,jamaa alifurahi sana kujaza hoteli angalau kwa siku mbili tatu,baada ya hapo alikabwa koo na TRA mpaka akakauka.
Sasa yamehamia kwa CDM kisa wameambiwa mafisadi,wenyewe walikataa lakini Tango mwenyewe kanena wajibu linalowasibu wasikimbilie kuwafunga midomo, sasa CDM wanatafuta nini? kama si njama za kudhofisha CDM?Chombo hiki kimekuwa kikilaumiwa sana juu ya utendaji wake kazi,kimekwumbwa na upepo wa siasa muda mrefu sana,kwa kiwango kikubwa TRA wamekuwa wakifanya kazi kama chombo cha siasa.Natoa ushauri kuwa wafanye kazi zao na siasa waiche pembeni kwani hujui kesho anakuja nani watafanyeje?
Hata misamaha ya kodi ukichunguza sana utaona kuna element za politics ndani yake,TRA ninachosema kuwa msikimbilie kukanusha na kuweka vitisho mjue hakuna mtu mwenye busara akaropoka ni lazima amefanya uchunguzi kwanza ndipo akasema,mnachotakiwa kufanya ni kutafakari kwanza ndio muwe na uamuzi wa kusema au kutokusema,maana unaweza kusema kwa kupinga kumbe mwenzako anayo mengi ni hatari sana.
No Research no ************** to speak.
Sasa yamehamia kwa CDM kisa wameambiwa mafisadi,wenyewe walikataa lakini Tango mwenyewe kanena wajibu linalowasibu wasikimbilie kuwafunga midomo, sasa CDM wanatafuta nini? kama si njama za kudhofisha CDM?Chombo hiki kimekuwa kikilaumiwa sana juu ya utendaji wake kazi,kimekwumbwa na upepo wa siasa muda mrefu sana,kwa kiwango kikubwa TRA wamekuwa wakifanya kazi kama chombo cha siasa.Natoa ushauri kuwa wafanye kazi zao na siasa waiche pembeni kwani hujui kesho anakuja nani watafanyeje?
Hata misamaha ya kodi ukichunguza sana utaona kuna element za politics ndani yake,TRA ninachosema kuwa msikimbilie kukanusha na kuweka vitisho mjue hakuna mtu mwenye busara akaropoka ni lazima amefanya uchunguzi kwanza ndipo akasema,mnachotakiwa kufanya ni kutafakari kwanza ndio muwe na uamuzi wa kusema au kutokusema,maana unaweza kusema kwa kupinga kumbe mwenzako anayo mengi ni hatari sana.
No Research no ************** to speak.