TPN - Hafla ya Kujumuika Pamoja Jumamosi 28 Februari 2009 Saa 11 Jioni Mwanzo Lodges

.... pale kinapofanyika (preferably si kwa gharama kubwa sana) na kuleta matunda

Mzalendo Steve;

Asante sana.

Gharama kubwa is very relative. Nikupe mfano moja, pale UDEC course ya Ujasiliamali ya ujasiliamali ya masaa 40 ni TZS 350,000.

Katika TPN Event Fee ya Eventi ni kati ya TZS 5,000 na 15,000. Unapata Similar Lecture, Materials, Soft Copy ya PPT, Networking in terms of Market na Mitaji, Refreshments nk. Je, ni gharma ipi tunaongelea?

Katika Event ya sasa TZS 25,000 ni gharama ya chakula na maandalizi yote na bado kuna faida nyingi ya kujumuika na kubadilishana mawazo katika maada nilizozitaja.

Kama una mawazo mbadala, karibu sana.
 
Unayoongea ni muhimu sana. Gharama za information ni ndogo na ndizo ziletazo matunda.

Hila kitu kinachoni-bore kuhusu watanzania, ni kutopeana information za kuendelea. Hapa ninapokaa nakutana na naongea sana na watanzania lakini sioni mtu kastua kuwa kuna kitu kinachoweza kufanyika zaidi ya ubishi wa mambo ya siasa za kimataifa.

Ndugu yangu;

Hilo ndiyo moja ya Matatizo yetu makubwa ambayo TPN inajaribu pia kuyafanyia kazi. Hakika inasikitisha sana.

Hata kunapokuwa na jambo jema na linaloonekana, always kutakuwa na wengine ambao wako negative. Being negative is a Choice na nadhani ni sawa tu. lakini kuja na mawazo mbadala ni vema zaidi.

Wengi wanapenda sana kubeza jitihada mbalimbali hata zinapofanywa kwa nia njema lakini hawesemi nini kifanyike. Na hata wakisema, ukiwaambie tutende sasa hawaonekana.

TPN imetupatika experience nzuri ya jinsi tulivyo na nini inatupasa kufanya ili tubadilike.

Tunaongea saaana. Utendaji kidogo. TPN tunajaribu kufanya the Opposite na bila kupiga kelele nyingi.
 
Gharama kubwa is very relative. Nikupe mfano moja, pale UDEC course ya Ujasiliamali ya ujasiliamali ya masaa 40 ni TZS 350,000.

Katika TPN Event Fee ya Eventi ni kati ya TZS 5,000 na 15,000. Unapata Similar Lecture, Materials, Soft Copy ya PPT, Networking in terms of Market na Mitaji, Refreshments nk. Je, ni gharma ipi tunaongelea?

Katika Event ya sasa TZS 25,000 ni gharama ya chakula na maandalizi yote na bado kuna faida nyingi ya kujumuika na kubadilishana mawazo katika maada nilizozitaja. Kama una mawazo mbadala, karibu sana.

Mkuu Sanctus Mtsimbe, kwanza nakushukuru sana kwa kujibu hoja zilizotolewa. Hiyo ndio tulitegemea toka kwako. Pia hongera kwa kuweza kuendesha kozi ya Ujasiriamali kati ya 5,000 -15,000 wakati hao UDEC ni 350,000, mnastahili hongera kwa hilo.

Nikutakie hafla njema hapo kesho, najua utakuwa katika maandalizi ya hapa na pale. Hivyo sitaongeza swali katika majibu yako.
 
Mambo haya ya networking kwa nchi yetu ndiyo yamezaaa ufisadi ambao haujawahi kutokea.Mtandao wa kina RA nao ulianza hivi hivi kama TPN.
Kuna sehemu nyingi sana za kufanya mihadhara bila ya kuwa na gharama kubwa na mie nitakuwatayari kuwaombea.

Gembe Kiongozi;

Siyo kila mitandao inazaa ufisadi. Angalia mitandao ya Wanataaluma wa China; India; South Africa na hata Uganda nk. Ni mitandao ambayo imeleta matunda makubwa. Once a while, let us be potive. Kama unatofautiana, leta mawazo mbadala na mikakati tukusikilize. Sidhani kama maendeleo yanawezwa kuletwa bila watu kufanya kazi pamoja au kuungana.

sehemu kama nkurumah pale chuo kikuu cha dar esa salaam mnaweza kupata.tyatizo mind za watanzania zimejaa upuuzi mmoja kwamba kila hafla au semina lazima pesa nyingi zitumike na hakuna mtu anayefanya review baada ya hiyo mihadhara
.

Si Nkurumah tu, TPN huwa tunafanya Events zetu za Networking mahali ambapo ni rahisi wengi kukutana na pia gharama za chini. Niambie kama kulipia TZS 10,00, ukapewa Lecture, Materials, CD, Refreshments, kisha ukafanya PR na wenzio nk ni gharama?

Tumefanya hivyo sehemu nyingi na zingine bila hata fees. Tumekuwa na Chapter Arusha, Tanga, Dodoma, UK, USA nk na bado tunaendelea.

Si vibaya kupata au kusikiliza second opinion or party kabla ya kutoa maoni ya kukinzana. Hata hivyo asante kwa mawazo yako.

we need a change.

CHANGES WE CAN BELIEVE IN (Though not Copy and Paste ya Obama)

Mkuu Mfumwa tupo Mstari Mmmoja.Sanctus amevwatuka tu na hana hoja zaidi kaleta vioja.aweke CV yake hapa

Kazi kweli kweli. Mkuu, unasema unanifahamu toka kabla sijaja TZ (Sijui nilikuwa wapi) na unasema pia umenisiliza sana na kuniona, na bado CV yangu huijui?

Well, TPN Website ina details zote. Ila si vibaya ukijua:
Elimu: Shahada ya Pili, UK
Kazi: Communication Sector (Data & Internet); Deputy GM
Miradi: ICT School cince 1998, Real Estate; Hospital;
Jamii: Board Chair; Hospital; President; TPN; Member various organizations
Family: Married; Kids
Mission: To make people explore their talents and make them perform
Vision: To make people Empower Themselves
Others: Many more

Karibu sana.
 
Mkuu Sanctus Mtsimbe, kwanza nakushukuru sana kwa kujibu hoja zilizotolewa. Hiyo ndio tulitegemea toka kwako. Pia hongera kwa kuweza kuendesha kozi ya Ujasiriamali kati ya 5,000 -15,000 wakati hao UDEC ni 350,000, mnastahili hongera kwa hilo.

Nikutakie hafla njema hapo kesho, najua utakuwa katika maandalizi ya hapa na pale. Hivyo sitaongeza swali katika majibu yako.

Mkuu na Mzalendo Mfumwa;

Tuko pamoja; mimi ni mtumishi wenu tu, nitumieni, nisaidieni, nipeni mikakati, nionyesheni njia. Nami nitawasiliza na kuwatii kwa unyenyekevu mkuu. Let us all join forces. I know for sure than WE CAN but only if we decide. Let us decide now.
 
Mkuu SM,

Heshima mbele sana! Mimi si member wa TPN lakini nina taarifa nayo, napenda tu nikupongeze wewe binafsi kwanza kwa kuipa hoja ya Mkuu Gembe ''Muarobaini''! Nimependa sana ulivyotoa majibu vizuri bila jazba, nasema hivi kwa sababu hoja zao zinakera, zinatia majaribu, za kibinafsi zaidi na kukatisha tamaa sana!

Naomba tu niwape moyo nyie wachache mlioamua kuwaunganisha wanataluma wa Tanzania katika kuleta maendeleo ya kweli kwao na kwa Tanzania kwa ujumla! Kama ulivyosema, binadamu (hasa sisi miafrika) wakati mwingine huwatunapenda kuwakatisha tamaa wengine au kukosoa tu bila hata ya kutoa suluhisho au njia mbadala ya kufanya au ya kutatua matatizo yetu....wakati mwingine ukiona watu wanafanya hivyo ujue wameingiwa na husuda au kasumba ya wivu fulani kuona mwanzoni waliwakebehi (kwamba mngefeli) na sasa mnaelekea kushinda kinyume na matarajio yao! Just know that, kila penye mafanikio hapakosekani misukosuko!

Nawatakia networking njema hapo kesho (just that we have NBAA seminar at DCC same date, ningejaribu kuattend)mkijua kwamba kunaprofessionals wengine outside who are supporting you guys at ZIM's Inflation rate but also there others opposing it with all efforts at the same rate like Mkuu G!

Cheers!
 
Mkuu SM,

Heshima mbele sana! Mimi si member wa TPN lakini nina taarifa nayo, napenda tu nikupongeze wewe binafsi kwanza kwa kuipa hoja ya Mkuu Gembe ''Muarobaini''! Nimependa sana ulivyotoa majibu vizuri bila jazba, nasema hivi kwa sababu hoja zao zinakera, zinatia majaribu, za kibinafsi zaidi na kukatisha tamaa sana!

Naomba tu niwape moyo nyie wachache mlioamua kuwaunganisha wanataluma wa Tanzania katika kuleta maendeleo ya kweli kwao na kwa Tanzania kwa ujumla! Kama ulivyosema, binadamu (hasa sisi miafrika) wakati mwingine huwatunapenda kuwakatisha tamaa wengine au kukosoa tu bila hata ya kutoa suluhisho au njia mbadala ya kufanya au ya kutatua matatizo yetu....wakati mwingine ukiona watu wanafanya hivyo ujue wameingiwa na husuda au kasumba ya wivu fulani kuona mwanzoni waliwakebehi (kwamba mngefeli) na sasa mnaelekea kushinda kinyume na matarajio yao! Just know that, kila penye mafanikio hapakosekani misukosuko!

Nawatakia networking njema hapo kesho (just that we have NBAA seminar at DCC same date, ningejaribu kuattend)mkijua kwamba kunaprofessionals wengine outside who are supporting you guys at ZIM's Inflation rate but also there others opposing it with all efforts at the same rate like Mkuu G!

Cheers!


Next Level; Asante sana.

Hatutakata tamaa hata siku moja.

Challenge za kama Mzalendo Gembe na nyingine zaidi tumeshakutana navyo. I wish kwa uhakika angekuwa anajua TPN imefanya nini kwa vitendo angekuwa na msaada wa kutoa mchango wake wa kutujenga zaidi.

Tuhuma na kejeli bila Mbinu na Mikakati Mbadala hazitujengi sana wala kutusaidia. If we are wrong let someone show us the way practically but not politics kwa kuwa sisi si wanasiasa.

Stay blessed.
 
Mkuu Sanctus.
Gembe asikupe stress we songa mbele.
Hawa watu ambao kazi yao ni kuuliza maswali tu bila kutoa solutions za matatizo ya nchi yetu ndio wanaoturudisha nyuma

Gembe najua unaweza kusema zaidi ya uliyosema angalau kwa kuwatia moyo vijana waliochukua hatua kuliko kuwatengeneza mazingira hasi
 
Mkuu Sanctus,

Watz bwana..wazuri kupinga tu! sasa wewe Gembe leta hapa mawazo mbadala..na mda wote wewe ulikuwa wapi hujaleta mawazo yoyote???

Je kwani ni dhambi Watz wakakutana tu wakajumuika na hufurahia?

Tz sii Kosovo au Rwanda au Kenya! Sisi tunapendana kama Watu wamoja!

Nadhani kukutana na kufahamiana vinaashiria nia njema!

Sipo Tz mkuu Mkuu Sanctus..ila kama ninelikuwepo kama Mzalendo ningekuja tukajumuika wote!

Nawatakieni Ghafla Njema!

Always in love of my countrymen ni mimi Mzalendohalisi!
 
Asanteni sana . . .

Namba ya Waliothibitisha ni nzuri sana . . .

Nashukuru wote kwa kuitikia mwito. Kwa wale wa dakika za mwisho bado mnakaribishwa pia.

Wasalaam.
Ninapenda sana kuhudhuria hii party ya wanataaluma hiyo J'mosi,kwa mujibu wa ramani hii sehemu ya tukio ni nje ya jiji la Dar.;je kuna arrangement yeyote ya usafiri au kila mtu anajitegemea kivyake?Ningependa kufahamu mapema ili niweze kutoa maamuzi.
 
Mkuu Sanctus.
Gembe asikupe stress we songa mbele.
Hawa watu ambao kazi yao ni kuuliza maswali tu bila kutoa solutions za matatizo ya nchi yetu ndio wanaoturudisha nyuma

Gembe najua unaweza kusema zaidi ya uliyosema angalau kwa kuwatia moyo vijana waliochukua hatua kuliko kuwatengeneza mazingira hasi

Asante sana Amani GK

Tuko pamoja Mkuu!
 
Mkuu Sanctus,

Watz bwana..wazuri kupinga tu! sasa wewe Gembe leta hapa mawazo mbadala..na mda wote wewe ulikuwa wapi hujaleta mawazo yoyote???

Je kwani ni dhambi Watz wakakutana tu wakajumuika na hufurahia?

Tz sii Kosovo au Rwanda au Kenya! Sisi tunapendana kama Watu wamoja!

Nadhani kukutana na kufahamiana vinaashiria nia njema!

Sipo Tz mkuu Mkuu Sanctus..ila kama ninelikuwepo kama Mzalendo ningekuja tukajumuika wote!

Nawatakieni Ghafla Njema!

Always in love of my countrymen ni mimi Mzalendohalisi!

Mzalendo Halisi;

Asante sana ndugu yangu. TPN siku zote imekuwa ikiwathamini sana ndugu zetu waliopo nje. Hata huu mkakati wa kuwa ni Diaspora Summit ni katika kufanikisha ubunifu wa miradi ya pamoja na ni vipi tunaweza kujiletea maendeleo.
 
Ninapenda sana kuhudhuria hii party ya wanataaluma hiyo J'mosi,kwa mujibu wa ramani hii sehemu ya tukio ni nje ya jiji la Dar.;je kuna arrangement yeyote ya usafiri au kila mtu anajitegemea kivyake?Ningependa kufahamu mapema ili niweze kutoa maamuzi.


Kiu ya jibu; kutakuwa na usafiri wa Mini-Bus ambayo itaanzia British Council kuanzia saa tisa. Unaweza kumpigia Layla namba yake ipo katika post kuu.

Ukikwama naomba nipigie +255 754 833 985.

Karibu sana.
 
Today is the day . . . .

Karibuni sana. Let us talk about "tz diaspora summit dec 2009" and "tuzo".
 
Today is the day . . . .

Karibuni sana.

Let us talk about "tz diaspora summit dec 2009" and "tuzo".
 
Msimbe afadhali umemjibu huyo Gembe nilishtuka aliposema kuwa una degree ya kwanza
Nafikiri jamaa kana kweli anataka kutoa mchango wake /kuuliza maswali ni bora angeudhuria hicho kikao na sio kuanza kutoa lawama
Dont give up ingawa wapinzani ni wengi but tutafika
 
Last edited:

Similar Discussions

Back
Top Bottom