Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,977
- 20,243
Nipo jirani kabisa na mhe rage hapa nyumbani kwake ghafla waandishi wa tbc wameingia na kunatetesi za tp mazembe kuchakachua baadhi ya taratibu. Subirn wamalize kuzungumza na mhe nitawajuza