Hiyo vitz yako ni kikongwe, jaribu kushusha bei hadi 5m/-NIyamwaka 2002 imetembea km 130,000
habari wana JF
vitz nyekundu mpya bado ipo tayari kwa kuuzwa, bei ni SH 6.4 million
tuwasiliane kwenye 0716-369299
View attachment 57758
kwa nini unaiuza?
huyu ni muuzaji maarufu wa magari hapa.kwa nini unaiuza?
ninauza hii gari sababu naitaji kununua gari nyingine na pia gari ilikua haijatumika mda mrefu maana ilikua imeletwa nchini 2010 na ilikua inatumika mjini tu. Gari ipo apa town opposite na CBE.
Vits2002-2010=10 haf unaambiwa imetembea km 130000\10yrs=13000per year? yani ilikuwa inaenda kigoma na kurudi mara tano kwa mwaka kwa miaka kumi? duh?
Hii sio kweli mkuu, we ni dalali wa kuuza magari hapa JF sasa unaposema unauza ili ununue gari jingine sijui unamdanganya nani? Watu wote wanakujua humu. Acha hizo kaka