NI NINI mkuu ebu tuelimishane zaidi
Vipi uimara wa hizi gari. Nadhani nipo interested na gari ndogo ya kutembelea. Would this be a good choice? Hebu nipeni data wataalamu wa magari. Maana kuna watu walinambia Daihatsu huwa ina shida ya spea.
Make: Daihatsu
model: Terios
colour: Dark red mica
body type: Station wagon
yamwaka 1996
bei maelewano ipo kwenye hali nzuri kwa mawasiliano 0715 290116
Nashukuru sana Preta kwa ushauri wako, ngoja tu nikomae na tradecarview. Hope nitapata toyota nzuri, though nimeona bei zipo juu kwa sasa.simkatishi muuzaji tamaa lakini kitu inaitwa Daihatsu naipa heshima......unaweza ukaambiwa spea zinaingiliana na Cami then ukaingia mkenge....mbona utajuta kuzaliwa....otherwise Nairobi utakuwa unaitembelea mara kwa mara.......TOYOTA is the best na spea ni nyingi