Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
may be 8.5mil
Kitomai,
Changamkia issue hiyo, mwenzio hataki kwa 8.5 anataka umpe kwa 9.6!
Hivi kweli viroja.....muuzajia anasema bei yake ni 8.5 mil, halafu mnunuzi anasema atatoa 9.6 mil.! Ni macho yangu tu au ndio kitu halisi......? However, there is a French proverb which says 'There are more fools among buyers than among sellers'
Mkuu kuna watu wa ajabu sana aisee......! ila hii huwa ipo sana kwa watani zangu wamatengo, yaani wakisha uza tumbaku yao, wanataka kununua vitu vinavyouzwa ghali hata kama wanajua sehemu fulani the same thing ni cheap!
Kitomai nitafute nipo tayari kutoa 9.6 mil.
Wewe acha ushamba ndugu....price umeambiwa ni 8.5m we kihele hele cha nini sasa?....changia JF hiyo inayozidi bana.....!