kana kwamba watu mnataka specification zote za hiyo gari muzione hapahapa siku unakwenda tu unalipia cash...kama kweli una shida na gari kwann usiwasiliane na huyo jamaa kisha ukaenda kuliona na kulikagua fresh...
Hiyo bei kama ipo show room...wakati usikute we mwenyew ulinunua used halafu uka iuse tena so ni doube used halafu unataka uuze kwa bei ileile uliyonunulia wewe hiyo siyo biashara kwa taarifa yako kuna premio ya 2001 show room ni m 8 tu na imelipiwa kila kitu.
nakushauri ushushe bei ili uwavutie wadau hata kuja kuiona tu zaidi ya hapo utakuwa unapoteza muda.
ukitaka kujua watu wa sumba-wanga ,kyela utawajua kwa maneno yao,,ndugu ulipo hata akishusha mil 4 sijui kama utaweza kuifwata dar
Mkuu hawa watu utadhani wapo kwenye mipasho kama uko siriasi siunasema unangapi lakini kuweka vimaneno vyako vya kejeli inaboa kama huwezi kaa kimya na wenye viherehere niwale wanaouza vyombo mitaani sijui wanadhani gari nikama baiskeli?mtu makini hawezi kuandika upumbafu mimi nimekuwekea bei napicha wewe nikutizama nakuniambia unangapi siyo wewe kupanga bei!unapanga bei kwa biashara yako na hizi siyo nyanya wala viazi hii ni gari na bei ni ghali.
We ***** nini ulishawahi kumiliki gari??gx100 unajua bei yake??gx100 inakaribiana na bei ya bajaj!!Gx100 bei yake ni six m!kama premio ndo mil 8.3 vp gx100??? tafadhali tembelea website za magari kabla hujatangaza bei alaf umeshatumia