Wakuu hiv ile systeam ya TRA ya kutax used car kutoka japani imeshaanza kufanya kazi? Nimepata NOAH ya mwaka 1999 japani,CIF yake ni dola 3100,je kodi yake itakuwa tsh ngap? msaada please! Nawakilisha!
huwa wanaangalia bei ya aina ya gari kipindi ilipokuwa mpya, na kuanza kutafuta depreciation.Mara nyingi kwa magari ya zamani kama hilo ni utalipia kama 50%.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.