Mtoka Mbali
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 237
- 25
Kama kuna mtu anauza gari aina ya Corolla 110 au ana jamaa anayeuza hiyo gari tafadhali tuwasiliane. Tafadhali nitumie pm hapa hapa au nipatie namba yako kisha tuzungumze biashara. Hii ni kwa walio serious pekee.
Thanks
Thanks