Senior Member wa ZED ametundika thread juu ya wasiwasi ya Kuwa Tume Ya Uchaguzi NEC Tanzania na Mgombea wa Urais kwa CCM, kwa pamoja wanatumia huduma ya mawasiliano ya Intaneti inayotolewa na Internet Provider mmoja (72. 249. 185. 225). MwanaJF ameweka mchoro wa mahusiano kati ya NEC-TZ na website za JK www.jkikwete.com , Ofisi ya waziri mkuu PMO www.pmo.go.tz , www.datavision.co.tz
Swali la mwana JF ZED nanukuu:
Hata mtandao wao nec.go.tz una leta wasiwasi kama kweli NEC ni chombo kitakachotuhakikishia uchaguzi huru na wa haki. Hivyo ndivyo mtandao wao unavyo-share IP na mmoja wa wagombea uraisi! Kwa namna hii maswali ni mengi sana... kwanini? Na kama ni IP ni ya serikali kwa nini campaign team ya mgombea itumea IP hiyo? je huku si kukiuka sheria za uchaguzi? Wasiwasi wangu ni hapo ndipo kura zinaweza kuchakachuliwa! Lazima tuchunge kura zetu katika kila stage
Swali la mwana JF ZED nanukuu:
Hata mtandao wao nec.go.tz una leta wasiwasi kama kweli NEC ni chombo kitakachotuhakikishia uchaguzi huru na wa haki. Hivyo ndivyo mtandao wao unavyo-share IP na mmoja wa wagombea uraisi! Kwa namna hii maswali ni mengi sana... kwanini? Na kama ni IP ni ya serikali kwa nini campaign team ya mgombea itumea IP hiyo? je huku si kukiuka sheria za uchaguzi? Wasiwasi wangu ni hapo ndipo kura zinaweza kuchakachuliwa! Lazima tuchunge kura zetu katika kila stage
Last edited by Zed; Today at 12:49 AM.
"We can't have a better tomorrow if we are only lamenting about yesterday all the time"