Wakati unajiandaa kutuletea link ya uhakika ngoja niongeze Castle Light nyingine...
Ila kwa serikali hii ya Kikwete lolote linaweza kutokea
Tovuti ya Wizara ya Sheria na Katiba; Wizara iliyochini ya Dr Celina Kombani, www.sheria.go.tz kuna link inayoonyesha picha chafu za ngono.... INANIUMA SANA, SIJUI TZ NI NCHI YA AINA GANI... AIBU KUBWA SANA
Ni sehemu gani katika tovuti hiyo inayoonyesha huo uchafu. Yaani nashindwa kuamini ukisemacho kama ni kweli au la.
halafu hawa watu wanaot*mb*n* nahisi ni kama wajapan na wakorea vle ila wanaonekana wanayamudu haya mambo ya chumbua. See and enjoy yourself.
Tovuti ya Wizara ya Sheria na Katiba; Wizara iliyochini ya Dr Celina Kombani, www.sheria.go.tz kuna link inayoonyesha picha chafu za ngono.... INANIUMA SANA, SIJUI TZ NI NCHI YA AINA GANI... AIBU KUBWA SANA