alexmahone
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 482
- 405
Nilikuwa nikiitumia kicheko na mwanakijiji.podomatics lakini kwasasa zote zinagoma kufungua kwenye simu ninayotumia.
Msaada kwa anayezifaham tovuti nyingine tofauti na hzo anijuze.
N.B
Yasiwe magazeti ya udaku
Msaada kwa anayezifaham tovuti nyingine tofauti na hzo anijuze.
N.B
Yasiwe magazeti ya udaku