Haya. Tovuti ya Chadema haipo hewani. Sishangai nikiambiwa ime-crush kwa sababu ya traffic au CCM wamei-hack! Dr Slaa yuko kwenye kampeni akihamasisha pamoja na mambo mengine teknologia wakati tovuti ya chama chake ndio hivyo tena. Kazi kweli kweli.
Kwani ndugu Website kuwa chini ni jambo la ajabu??? Kumbuka website kama website inakuwa hosted na certain company ambayo CHADEMA watakuwa wameingia nayo mkataba, na any event kama hiyo hao maclient ndo watashugulikia. ulichotaka kuwaaminisha watu kuwa CHADEMA ni wazembe hizo critics zako hazina maana.
Kwa taarifa tu hata Website ya Bunge ilishawahi kuwa hacked, hata hiyo ya serikali kuna siku huwa down, hata hao google wenyewe walishawahi kuwa hacked..
So, stop porojoporojo bana!!! kwani website ya CCM/CUF ni zipi vile???
Mpe shule ya mambo ya internet
Kama una shida na manifesto si iko hapa JF jamani? Hata hivyo Chadema walisema website yao iko katika matengenezo na itakuwa hewani karibuni. Ni jambo la kawaida tu host wao analishughulikia Swali jingine?Only if s/he know what is talking about. Was debating with a friend from Kenya that in Tanzania we have got the strongest opposition in this election and in Chadema, they have a a very good election manifesto. He wanted to see the manifesto, so went to chadema website to dowload it only to find that the website is not there. The Kenyan just said "No Comment" in a funny way. That was embarrasment. Then, when I want to know why the site is down, I am told mie mamluki.
Kama una shida na manifesto si iko hapa JF jamani? Hata hivyo Chadema walisema website yao iko katika matengenezo na itakuwa hewani karibuni. Ni jambo la kawaida tu host wao analishughulikia Swali jingine?
Umeeleza ukweli lakini ukasahau kuwa sisi m ni mufilisi. You have nice ideas but you still supports those thugs na wewe sasa utaonekana kama wao.Jibu mbona rahisi tu!
JF sio official website ya Chadema. JF imekuwepo long time ago before chadema got popularity. That time vyama maarufu vilikuwa ni CUF na TLP na NCCR Mageuzi.
Sema kwa bahati mbaya au nzuri wanachama na wapenzi wengi wa JF wanadhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chadema. Na hii ni kutokana na maoni wayatoayo dhidi ya CCM.
JF ni huru kwa kila mtu kuchangia, kinachokatazwa ni kumtusi mtu. Kuhusisha JF na Chadema mie kwa mtazamo wangu nadhani ni makosa.
***********************************************
USIACHE MBACHAO KWA MSALA UPITAO
***********************************************
Usiiache CCM kwani hiyo ni mbachao yako, CHADEMA, CUF, TLP, NCCR MAGEUZI na vyama vengine ni MISALA IPITAYO TU.
Mind, CCM ni :first:
:welcome:, unashangaa nini???? Ukitaka karibu kwa hiyo WELCOME au ka hutaki nenda kwa hiyo wave ya GOODBYE
Jibu mbona rahisi tu!
JF sio official website ya Chadema. JF imekuwepo long time ago before chadema got popularity. That time vyama maarufu vilikuwa ni CUF na TLP na NCCR Mageuzi.
Sema kwa bahati mbaya au nzuri wanachama na wapenzi wengi wa JF wanadhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chadema. Na hii ni kutokana na maoni wayatoayo dhidi ya CCM.
JF ni huru kwa kila mtu kuchangia, kinachokatazwa ni kumtusi mtu. Kuhusisha JF na Chadema mie kwa mtazamo wangu nadhani ni makosa.
***********************************************
USIACHE MBACHAO KWA MSALA UPITAO
***********************************************
Usiiache CCM kwani hiyo ni mbachao yako, CHADEMA, CUF, TLP, NCCR MAGEUZI na vyama vengine ni MISALA IPITAYO TU.
Mind, CCM ni :first:
:welcome:, unashangaa nini???? Ukitaka karibu kwa hiyo WELCOME au ka hutaki nenda kwa hiyo wave ya GOODBYE
Haya. Tovuti ya Chadema haipo hewani. Sishangai nikiambiwa ime-crush kwa sababu ya traffic au CCM wamei-hack! Dr Slaa yuko kwenye kampeni akihamasisha pamoja na mambo mengine teknologia wakati tovuti ya chama chake ndio hivyo tena. Kazi kweli kweli.