Tovuti ya CHADEMA haipo hewani!!!

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,483
15,308
Haya. Tovuti ya Chadema haipo hewani. Sishangai nikiambiwa ime-crush kwa sababu ya traffic au CCM wamei-hack! Dr Slaa yuko kwenye kampeni akihamasisha pamoja na mambo mengine teknologia wakati tovuti ya chama chake ndio hivyo tena. Kazi kweli kweli.
 
Haya. Tovuti ya Chadema haipo hewani. Sishangai nikiambiwa ime-crush kwa sababu ya traffic au CCM wamei-hack! Dr Slaa yuko kwenye kampeni akihamasisha pamoja na mambo mengine teknologia wakati tovuti ya chama chake ndio hivyo tena. Kazi kweli kweli.

Kwani ndugu Website kuwa chini ni jambo la ajabu??? Kumbuka website kama website inakuwa hosted na certain company ambayo CHADEMA watakuwa wameingia nayo mkataba, na any event kama hiyo hao maclient ndo watashugulikia. ulichotaka kuwaaminisha watu kuwa CHADEMA ni wazembe hizo critics zako hazina maana.

Kwa taarifa tu hata Website ya Bunge ilishawahi kuwa hacked, hata hiyo ya serikali kuna siku huwa down, hata hao google wenyewe walishawahi kuwa hacked..
So, stop porojoporojo bana!!! kwani website ya CCM/CUF ni zipi vile???
 
Kwani ndugu Website kuwa chini ni jambo la ajabu??? Kumbuka website kama website inakuwa hosted na certain company ambayo CHADEMA watakuwa wameingia nayo mkataba, na any event kama hiyo hao maclient ndo watashugulikia. ulichotaka kuwaaminisha watu kuwa CHADEMA ni wazembe hizo critics zako hazina maana.

Kwa taarifa tu hata Website ya Bunge ilishawahi kuwa hacked, hata hiyo ya serikali kuna siku huwa down, hata hao google wenyewe walishawahi kuwa hacked..
So, stop porojoporojo bana!!! kwani website ya CCM/CUF ni zipi vile???

Yale yale. Kwa vile A ilishakuwa hivi basi B ana haki ya kuwa hivyo. Wabongo?? The fact is simple. Tovuti ya Chadema haipo hewani. No statement has been made about this. Basi kwa vile ya Bunge ilishakuwa down basi na ya chadema iko entitled kuwa down? What a comparison is that? Kwa maana hiyo basi it means Chadema has got nothing new in the backet as far as technology is concerned. Eti "kwani website ya CCM/CUF ni zipi vile?" Very poor thinking!!
 
Mpe shule ya mambo ya internet

Only if s/he know what is talking about. Was debating with a friend from Kenya that in Tanzania we have got the strongest opposition in this election and in Chadema, they have a a very good election manifesto. He wanted to see the manifesto, so went to chadema website to dowload it only to find that the website is not there. The Kenyan just said "No Comment" in a funny way. That was embarrasment. Then, when I want to know why the site is down, I am told mie mamluki.
 
Tafadhali naombeni mtu yeyote anayejua website ya Chadema anipatie.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
Only if s/he know what is talking about. Was debating with a friend from Kenya that in Tanzania we have got the strongest opposition in this election and in Chadema, they have a a very good election manifesto. He wanted to see the manifesto, so went to chadema website to dowload it only to find that the website is not there. The Kenyan just said "No Comment" in a funny way. That was embarrasment. Then, when I want to know why the site is down, I am told mie mamluki.
Kama una shida na manifesto si iko hapa JF jamani? Hata hivyo Chadema walisema website yao iko katika matengenezo na itakuwa hewani karibuni. Ni jambo la kawaida tu host wao analishughulikia Swali jingine?
 
Kama una shida na manifesto si iko hapa JF jamani? Hata hivyo Chadema walisema website yao iko katika matengenezo na itakuwa hewani karibuni. Ni jambo la kawaida tu host wao analishughulikia Swali jingine?

Swali lingine? Well Kwani Jamii Forum ni official site ya Chadema? Wee vipi?
 
Jibu mbona rahisi tu!
JF sio official website ya Chadema. JF imekuwepo long time ago before chadema got popularity. That time vyama maarufu vilikuwa ni CUF na TLP na NCCR Mageuzi.

Sema kwa bahati mbaya au nzuri wanachama na wapenzi wengi wa JF wanadhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chadema. Na hii ni kutokana na maoni wayatoayo dhidi ya CCM.

JF ni huru kwa kila mtu kuchangia, kinachokatazwa ni kumtusi mtu. Kuhusisha JF na Chadema mie kwa mtazamo wangu nadhani ni makosa.

***********************************************
USIACHE MBACHAO KWA MSALA UPITAO
***********************************************

Usiiache CCM kwani hiyo ni mbachao yako, CHADEMA, CUF, TLP, NCCR MAGEUZI na vyama vengine ni MISALA IPITAYO TU.

Mind, CCM ni :first:

:welcome:, unashangaa nini???? Ukitaka karibu kwa hiyo WELCOME au ka hutaki nenda kwa hiyo wave ya GOODBYE
 
Jibu mbona rahisi tu!
JF sio official website ya Chadema. JF imekuwepo long time ago before chadema got popularity. That time vyama maarufu vilikuwa ni CUF na TLP na NCCR Mageuzi.

Sema kwa bahati mbaya au nzuri wanachama na wapenzi wengi wa JF wanadhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chadema. Na hii ni kutokana na maoni wayatoayo dhidi ya CCM.

JF ni huru kwa kila mtu kuchangia, kinachokatazwa ni kumtusi mtu. Kuhusisha JF na Chadema mie kwa mtazamo wangu nadhani ni makosa.

***********************************************
USIACHE MBACHAO KWA MSALA UPITAO
***********************************************

Usiiache CCM kwani hiyo ni mbachao yako, CHADEMA, CUF, TLP, NCCR MAGEUZI na vyama vengine ni MISALA IPITAYO TU.

Mind, CCM ni :first:

:welcome:, unashangaa nini???? Ukitaka karibu kwa hiyo WELCOME au ka hutaki nenda kwa hiyo wave ya GOODBYE
Umeeleza ukweli lakini ukasahau kuwa sisi m ni mufilisi. You have nice ideas but you still supports those thugs na wewe sasa utaonekana kama wao.

Ndege wa aina moja huruka pamoja bana.
 
Jibu mbona rahisi tu!
JF sio official website ya Chadema. JF imekuwepo long time ago before chadema got popularity. That time vyama maarufu vilikuwa ni CUF na TLP na NCCR Mageuzi.

Sema kwa bahati mbaya au nzuri wanachama na wapenzi wengi wa JF wanadhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chadema. Na hii ni kutokana na maoni wayatoayo dhidi ya CCM.

JF ni huru kwa kila mtu kuchangia, kinachokatazwa ni kumtusi mtu. Kuhusisha JF na Chadema mie kwa mtazamo wangu nadhani ni makosa.

***********************************************
USIACHE MBACHAO KWA MSALA UPITAO
***********************************************

Usiiache CCM kwani hiyo ni mbachao yako, CHADEMA, CUF, TLP, NCCR MAGEUZI na vyama vengine ni MISALA IPITAYO TU.

Mind, CCM ni :first:

:welcome:, unashangaa nini???? Ukitaka karibu kwa hiyo WELCOME au ka hutaki nenda kwa hiyo wave ya GOODBYE

"....wanachama na wapenzi wengi wa JF wanadhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chadema." Wanadhaniwa au ni wafuasia wa CHADEMA?

Halafu website ha CHADEMA bado haipo hewani.
 
Haya. Tovuti ya Chadema haipo hewani. Sishangai nikiambiwa ime-crush kwa sababu ya traffic au CCM wamei-hack! Dr Slaa yuko kwenye kampeni akihamasisha pamoja na mambo mengine teknologia wakati tovuti ya chama chake ndio hivyo tena. Kazi kweli kweli.

acha uongo, mbona iko online?
 
Back
Top Bottom