Deus F Mallya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 705
- 440
Ni kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikijaribu kuingia kwenye Tovuti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) lakini imekuwa
haipatikani (Zero blank page).
http://www.nec.go.tz
Pamoja na hayo, Serikali imeendelea kuwa kimya bila kueleza chochote kuhusu Tovuti hii. Ikumbukwe kuwa Tovuti ya NEC ndiyo tovuti pekee ambapo unaweza kupata matokeo Rasmi ya Chaguzi zote.
Kama kuna sehemu naweza kupata matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2010 naomba mnisaidie tafadhali.
haipatikani (Zero blank page).
http://www.nec.go.tz
Pamoja na hayo, Serikali imeendelea kuwa kimya bila kueleza chochote kuhusu Tovuti hii. Ikumbukwe kuwa Tovuti ya NEC ndiyo tovuti pekee ambapo unaweza kupata matokeo Rasmi ya Chaguzi zote.
Kama kuna sehemu naweza kupata matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2010 naomba mnisaidie tafadhali.