changia hoja acha kuchagua jembe ww c mkulima
Mkuu tumaini letu,changia hoja acha kuchagua jembe ww c mkulima
Habari zenu wana JF, leo nimeona kimewekwa kiungo (Link) ya tovuti inayokwenda kwa jina la Fkra Pevu. Swali langu ni... Je nayo hii ni sehemu ya JF au ni tovuti inayojitegemea ila wameomba wawekewe link tu hapa?
Sawa mkuu ila nako uko kwenye Fikra Pevu nimeona kuna swala la kujiunga.Mkuu X-PASTER, Naomba nikujibu kwa kifupi. Ni kwamba, tovuti ya FikraPevu iliyowekewa kiunganishi ndani ya JF inauhusiana na JF. Ila habari zinazowekwa kule zinajitegemea na ni habari zilizohaririwa. Lakini kama zilivyo habari nyingine kutoka/kwenye vyombo mbalimbali; habari za FikraPevu nazo zaweza kuwa na chanzo chake hapa JF, vilevile FikraPevu yaweza kuwa chanzo cha mjadala wenye kupata majadiliano marefu zaidi hapa JF. Tembelea, jisomee, julisha, eneza habari, usihofu.
Shukrani Mkuu.
changia hoja acha kuchagua jembe ww c mkulima
Inawezekana ni mwenyeji sana huyo, sasa anataka kuonyesha jinsi alivyo.huyu ana siku mbili tu humu lakini bwana
kisha halisha sehemu kibao, sijamuona akialisha jukwaa la wakubwa tu, nahisi huko anavaa nepi au mikono inakuwa busy na mambo ya kikumbwa
kama keyboard zingekuwa zinapiga ngumu kila ukiandika pumba nadhani wewe ungekuwa kibogoyo.
MATONYA WA FIKRA WEWE.