Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 636
- 540
- Thread starter
- #41
nikiwa na water pump mkuu itanigarim kiasi gani cha ziada ili kukamilish kilimo hicho
Km una water pump ina maana una kisima si ndio? Gharama ya ziada tu itakuwa sehemu ya kuhifadhia maji. Matanki yatahitajika