Man Mudi
Senior Member
- Oct 13, 2014
- 159
- 113
Mkuu hakika umenipa hamasa...sasa naanza rasmi maana ninaekari 20 tabora na zipo ndani ya manispaa tena barabara ya lami..nimeshajenga nyumba ya mlinzi imeisha na nimeweka solar tayari nilikua nimeanza na vibanda vya ufugaji na mizinga michache ya nyuki..sasa ntaweka mizinga 300 na kuna siku niliwapigia Balton wakanipa bei zao nikaona kama ni ghali kumbe inalipa sana maana walinambia wananipa greenhouse,madawa,simtank na mfumo mzima wa umwagiliaji ndani na nje ya greenhouse. Byebye umaskini
Bro Open Field Kit ni kiasi gani na inachukua ukubwa gani kwa balton