Vipi jukwaa mbona liko kimya
Kula 5 mmbebabox!
Mngepatikana kama wewe 2 tu, maisha yangu yangekuwa ya raha sana!
Safi sana!the only team i like in london ni SPURS,i do watch their games whenever i get a chance.
Spurs 2 Arsenal 1
COME ON SPURSSSSSSSSSSSSSSS..............we've done u a favour by beating man city,now its your turn beat the arrogant CHELSEA......................
Waswahili husema "avumae baharini papa, kumbe wengi wapo". Msimu huu nasi tumo, hatujikongoji bali tumo!.