arifu hawa viumbe bana....hata ile kuwaangalia inatia raha na kupunguza stress.....
Nawachukia sana hawa watu.....siku moja jamaa akawa anamsafisha miguuu na kumpaka rangi shori wangu....aisee niligombana nae nikampaka mwenyewe rangi watu walicheka sana......wana mbinu mbaya sana wale......kama majuzi nimepita kule nyuma wapo kibao nimemkuta dada kajiachiaaa weee jamaa anamsafisha miguu....dada full raha kaacha kila kitu wazi kwa kutekenywa tekenywa miguu na jamaa pale chini anakula deo mali za tu.....shori wangu nampaka rangi mwenyewe
niko orlando sasa hivi arifu....
majuu hamna totozi za mwenge.....Toka zako hapa...jana umekesha ukiangalia slam dunk contest! Tena uliandika kwa maneno yako mwenyewe kule kwenye michezo.
Endelea kula vumbi na kung'atwa na mimbu! Acha wenzio tule bata Unyamwezini.
majuu hamna totozi za mwenge.....
Ni kweli hamna! Hamna totoz zenye vikwapa! Hamna totoz zenye kula vumbi mwanzo mwisho! Hamna totoz zinazoishi majuu kwa kupitia DSTV kwa sababu ziko majuu tayari!
Kwa kifupi, huwezi kulinganisha Mwenge na majuu.
Nasikia na wewe ni totoz wa MwengeMazito haya.
Nasikia na wewe ni totoz wa Mwenge
nataka nianze kujipitisha pande hizo ili mvuto wangu uongezeke.
kwa hiyo hata dada zako,shangazi,mama zako wadogo wote wananuka vikwapa? acha kauli mbaya arifu....BTW snow imepungua
Kwa bahati nzuri, dada zangu, shangazi zangu, na mama zangu wadogo nawatumia mahela kibao. Na hawaishi Mwenge. Hayo mahela ninayowatumia moja ya masharti yake ni kuhakikisha wananunua bidhaa za usafi wa mwili zikiwemo anti-perspirant deodorants na advanced listerine with tartar protection.
heheh......utakutana na YO YO!!
ndio vizuri akanisaminishe. Yoyo upo wapi? Navuka hapa mwenge upande wa sheli
Niletee kigauni kwa yule mteja wetu!!
acha ushamba we boyo,kwnda mtoni isiwe tija ya kuw2kana dada zet na mama z2.ndo maana wanawaitaga manyani,
Duh mbona kazeeka sura huyo!!
unataka nyingine?