unafikiri ukienda ulaya utapata madem kama hao?kwa hela hzo za kubeba box?na ukickia mbongo kaoa mzungu ujue kibibi au mwanamke mjane
mkuu sio KILA MWEMBAMBA NI MODEL, sasa usifikirie kila anaeenda ulaya anaenda kubeba mabox tu, watu wanashughuli zao mkuu! watu wengine tungali na mbongo mingi(tuna pesa zakutosha) hatuna nja njaa, kwaiyo wasikitoko(mrembo kama huyo) hapindui hata kidogo, wewe baki tu hapa bongo na wakina wema na wolper wako.
we hujui kama wengine sisi ndo wale tunaosimamia account za mabilioni yalioko nje ya nchi huko uswiss