hii si hospitali ya kanisa? Gov iangalie Upya huu mkataba wa MOU
hii si hospitali ya kanisa? Gov iangalie Upya huu mkataba wa MOU
Hivi mavikao ya Bunge yanaanza lini? Madaktari tuko pamoja................[/QUOTE
Leo ni briefing kesho asubuhi kikao kanaanza. Hapa italuja dharura Kama ya kujadili samaki toka japan.
pinda jiuzulu..this time hakuna kulia lia hapa piga nyama chini
Nashanga!!! Hivi FFU hawajielewi! Sasa wanafanya nini hospitali na mibunduki yao!!Yep! Madaktari wanatufundisha kwenye mambo ya msingi hakuna cha mtema mate, mswalia mtume au ishara ya msalaba.
Kwao ukimgusa 'mmoja' umewagusa wote. Serikali walianza mdundiko Dar, sasa ngoma inachezwa nchi nzima.
FFU watatibu watu?
Nashanga!!! Hivi FFU hawajielewi! Sasa wanafanya nini hospitali na mibunduki yao!!