SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Wakuu,
Habari za siku nyingi wale wote mliosoma katika shule yetu ya TOSAMAGANGA mkoani Iringa.
Kama wadau wakuu wa Tosamaganga, naomba tuanzishe TOSAMAGANGA INVESTMENT GROUP ambapo lengo kuu la taasisi yetu hii litakuwa ni KUIBORESHA KITAALUMA KWA KIWANGO CHA JUU SANA SHULE YETU HIYO YA TOSAMAGANGA.
Naomba pia mniruhusu nipendekeze yafuatayo:-
1. Taasisi yetu hii ya Uwekezaji Katika Taaluma itaendeshwa kama SOCIAL BUSINESS ENTERPRISE--Naomba tujifunze zaidi kuhusu SOCIAL BUSINESS ENTERPRISES toka www.muhammadyunus.org.
2. Kila mmoja wetu anunue angalau Hisa zenye thamani ya shilingi milioni moja. Bei ya Hisa Moja inapendekezwa iwe shilingi za kitanzania elfu 10 tu.
Wakuu, Kama WAZO HILI litakubalika binafsi pamoja na familia yangu tutanunua Hisa za angalau shilingi milioni 5 ifikapo mwisho wa Mwezi wa Tisa Mwaka Huu wa 2012.
Naomba kuwasilisha.
Namba yangu ya simu ni 0654-467758 na nilisoma Tosamaganga mwaka 1984 mpaka 1986 EGM. Enzi za Marehemu Mpogole (MWENYEZI MUNGU amrehemu.)
Habari za siku nyingi wale wote mliosoma katika shule yetu ya TOSAMAGANGA mkoani Iringa.
Kama wadau wakuu wa Tosamaganga, naomba tuanzishe TOSAMAGANGA INVESTMENT GROUP ambapo lengo kuu la taasisi yetu hii litakuwa ni KUIBORESHA KITAALUMA KWA KIWANGO CHA JUU SANA SHULE YETU HIYO YA TOSAMAGANGA.
Naomba pia mniruhusu nipendekeze yafuatayo:-
1. Taasisi yetu hii ya Uwekezaji Katika Taaluma itaendeshwa kama SOCIAL BUSINESS ENTERPRISE--Naomba tujifunze zaidi kuhusu SOCIAL BUSINESS ENTERPRISES toka www.muhammadyunus.org.
2. Kila mmoja wetu anunue angalau Hisa zenye thamani ya shilingi milioni moja. Bei ya Hisa Moja inapendekezwa iwe shilingi za kitanzania elfu 10 tu.
Wakuu, Kama WAZO HILI litakubalika binafsi pamoja na familia yangu tutanunua Hisa za angalau shilingi milioni 5 ifikapo mwisho wa Mwezi wa Tisa Mwaka Huu wa 2012.
Naomba kuwasilisha.
Namba yangu ya simu ni 0654-467758 na nilisoma Tosamaganga mwaka 1984 mpaka 1986 EGM. Enzi za Marehemu Mpogole (MWENYEZI MUNGU amrehemu.)