Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Sawa, inaweza ikawa ni tetesi, lakini kwanini isishughulikiwe kitetesi-tetesi?
Nimeikuta Fesibuku hii habari, nikaona sio mbaya nichungulie huku, through Google nimeiona, ila kwa ndani wameitoa.
Ingekuwa poa ikabaki, labda Hussein Bashe, ambaye ni member humu angekuja na majibu kuntu, kuliko admin wetu kujaribu kukalia kinyesi ili kuficha aibu, matokeo yake unajichafua zaidi.
Au ni part ya maintainance?
Nimeikuta Fesibuku hii habari, nikaona sio mbaya nichungulie huku, through Google nimeiona, ila kwa ndani wameitoa.
Ingekuwa poa ikabaki, labda Hussein Bashe, ambaye ni member humu angekuja na majibu kuntu, kuliko admin wetu kujaribu kukalia kinyesi ili kuficha aibu, matokeo yake unajichafua zaidi.
Au ni part ya maintainance?
Last edited by a moderator: