TOP TEN ya wasiohitajika kwenye Baraza jipya la mawaziri...

Katiba mpya isiruhusu huu upuuzi wa waziri lazima awe mbunge. Hebu fikiria wabunge wa ccm ndo hao akina Majimarefu, Lusinde, Bulaya, Idd Azan na wachovu wengine wengi.

Pia hata Spika nae hapaswi kutokea chama kinachotawala, hata kama CHADEMA itakuwa madarakani. Ili asiwe chanzo cha kuficha maovu ya chama chake.
 
Si vizuri kumuita mtu mjinga! sasa wewe kama unajiona unajua zaidi yake si utueleze, unaishiwa hoja unabaki kutukana, humu sio sehemu ya kutukana, tafuta sehemu nyingine sie tunajibizana kwa hoja!
 
Mizengo Pinda
Mark Mwandosya
William Ngeleja
Mustafa Mkulo
 
kuna mmoja ni mbunge wa Segerea huyu ana PhD kutoka kitu inaitwa degree mill iitwayo Washington International University, na mama mmoja mbunge wa hanang naye aya PhD ya Commonwealth Open University ambayo kwanza ni chuo kisichotambulika lakini na tasnifu(thesis) duru zinaonesha aliandikiwa pia!Hawa wanafaa kwanza waondoshwe na pili watinge Kisutu kujibu mashtaka ya kuwasilisha shahada feki.
Nikiwa nje ya mstari kidogo MEYA wa JIJI linaloongoza kwa uchafu barani Afrika naye alipata Masters na Phd eti toka Washington International University lakini alikuwa na audacity ya kusema waheshimiwa wabunge wanafikiri kwa kutumia makalio!
 
As long as Mawaziri watatokana na wabunge ambao wengi wao kazi kubwa wanayoimudu ni kupiga mokofi na kuitetea serikali badala ya kuisimamia ukweli tusitarajie cha maana sana ktk hayo mabadiliko.

Kwanza mabadiliko yanakuja kwa shinikizo na sio kwa utashi. Kimsingi anayepashwa kufanya mabadiliko hakuona kama kuna haja ya kufanya hivyo.Hii ni shida kubwa zaidi.

Pili tatizo hasa si personality ni structure nzima ilivyo kwa sasa na namna wizara wizara zinavyofanya kazi. Imagine wizara inaharibu kazi na kusababisha upotevu wa mali ya uma... Mawaziri ambao kimsingi ndio wanapswa kutoa leadership kwa wizara wanadai kuwa hawahusiki bali ni makatibu wakuu ndio wanapaswa kujibu say hoja zinazohusu matumizi mabaya fedha za wizara ...strange.

Kimsingi kuna weakness nyingi sana kuanzia uteuzi wa mawaziri na jinsi wanavyotekeleza majukumu yao. Bila kurekebisha kasoro hizo utendaji wa mawaziri utaendelea kuwa duni tu.
 
Mimi binafsi ni top 50 hawafai kabisaaaaaaaaaa kwani kuna wazembe, wavivu, walafi, wazee, waongo, wanyang'anyi, wezi na zaidi MAFISADI ni wengi zaidi.
 
Yule kiboko ana malori zaidi ya 15 na hiyo nyumba ya 600m(zaidi ya 1bil)uwaziri miaka 4 tu...akiwa waziri 20yrs si balaa??atauza hadi mbu daddaakekii

Ameuliza jina siyo historia yake. Kiswahili siku hizi hakifundishwi mashuleni? Waego ni kati ya maige au nundu. I mean muuza twiga.
 
1.Wiliam ngeleja
2.George mkuchika
3.Ezekiel Maige
4.steven Wasira
5.Halji mponda
6.crilly chami
7.Omary nundu
8.Mustapha mkulo
9.prof Jumanne Maghembe
10.Mary nagu
ziada waweza kuongeza wengine
11.
12.

toto la mwinyi.
 
Back
Top Bottom