eumb
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 149
- 70
Yule kiboko ana malori zaidi ya 15 na hiyo nyumba ya 600m(zaidi ya 1bil)uwaziri miaka 4 tu...akiwa waziri 20yrs si balaa??atauza hadi mbu daddaakekii
Hapo kwenye red, duh!!!
Yule kiboko ana malori zaidi ya 15 na hiyo nyumba ya 600m(zaidi ya 1bil)uwaziri miaka 4 tu...akiwa waziri 20yrs si balaa??atauza hadi mbu daddaakekii
Check the photo. Hata hivyo hapo wameonyesha kuwa ni Mwakyembe, Chami, Nkya, Maige, Mkuchika, Mkullo, Mponda, Nundu, Nyalandu, Mwandosya na Tibaijuka Prof.Majina yako wapi?
msahau MAKONGOLO MAHANGA!
1.Wiliam ngeleja
2.George mkuchika
3.Ezekiel Maige
4.steven Wasira
5.Halji mponda
6.crilly chami
7.Omary nundu
8.Mustapha mkulo
9.prof Jumanne Maghembe
10.Mary nagu
ziada waweza kuongeza wengine
11.
12.
Yule aliyeibiwa vitu na Malaya Guest huko Morogoro anaitwa nani vile?
Mkuu unashida ya R na L?tafuta kitabu kinaitwa soma kwa hatua cha daasa la pili kazana kwe ra re ri ro ru.
Mkuu unashida ya R na L?tafuta kitabu kinaitwa soma kwa hatua cha daasa la pili kazana kwe ra re ri ro ru.
apewe wizara mpya ya kulala tu,Wataachwa wotee lakini Wasira haachwi kwani ni swahiba mkubwa sana wa JK.
19.maige - Maliasili na utaliiHakuna msafi wote hata Magufuli ni balaa wanajificha tu kichakani mwa tabasamu la JK, wafutwe na kama alivyovunja katiba kwa kuwakataza akina Warioba kujadili masuala yahusuyo kuvunjika au kutovunjika kwa muungano aamuru au ateue mawaziri watuatao:
1. Prof. Wilbrod Slaa Waziri Mkuu
2. Tundu Lisu - Waziri wa Sheria na Katiba akisaidiwa na Mnyika
3. Zitto Zuberi Kamwe - Waziri wa Fedha
4. Mkosamali - Nafasi ya Lukuvi
5. David Kafulila - Viwanda na Biashara
6. Free man Mbowe - Mambo ya ndani
7. Wenje - Serikali za Mitaa na Utawala Bora
8. Nyerere (CDM) - Mambo ya nje
9. Kiwia (Mambo ya ndani)
10. Sugu (Michezo na utamaduni)
11. Mchungaji Msigwa - Mahusiano ya dini mbalimbali - wizara mpya!
12. Dr yule wa Bukombe - Afya na ustawi wa jamii
13. Mama Annaniel Nkya - Jinsia na watoto
14. Magufuli - Ujenzi na Miundombinu
15. Mbunge wa ukerewe - Uvuvi na mifugo
16. Dr. Mwakyembe - Elimu na Mafunzo ya Ufundi stadi
17. Mzee Shirima wa precision - Usafirishaji na uchukuzi
18. tafadhali ongezea....
Lazma atakua ndugu yako tuuu...maana uo wasifu..??Napendekeza wizara ya mali asili na utalii apewe James Lembeli! Huyu jamaa ni kichwa sana na amekaa TANAPA sana na anauwezo wa kuendesha hii wizara, alifanya kazi pale TANAPA kwaustadi mzuri hata KIKWETE analijua hilo.
Yule kiboko ana malori zaidi ya 15 na hiyo nyumba ya 600m(zaidi ya 1bil)uwaziri miaka 4 tu...akiwa waziri 20yrs si balaa??atauza hadi mbu .........i