kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,461
- 5,860
Dizain baba yake Riz alimwekaga huyu kawambwa pale kwenye kile kiti baada ya tuhuma zisizohisha za upande fulani wa kiimani kuwa baadhi ya wanafunzi walioko upande huo wa kiimani kuwa wanafelishwa makusudi na kuwa wanapewa nafasi finyu katika baadhi ya field nyeti za kusomea mf:udaktari na kadhalika na huyu jamaa tangu apate nafasi hiyo mambo ndiyo yamezidi kuwa mabaya kuliko ilivyotegemewa!
Wadau wanasema ilifika mda mpaka baba riiiiiz akamwambia brother shukuru vipi bwana tuseme hujui mimi nimekuweka hapo kwa misingi ipi....asa watu walipo baki hoi ni pale jamaa aliposhindwa kumshuhulikia mfanyakazi wake aliyesimamisha wanafunzi kadhaa wenye hoja zenye mashiko wasifanye mitihani yao ya mwisho ya kadato cha sita!
we mjinga mada za elimu zinaandikwa kitaalamu kwa kuwa zinasomwa na wasomi kama unajijua akili yako ya kuvukia barabara tu basi achana na hizo mada nenda kwenye udaku... ***** wewe!