Daaah kitambo sana miaka ya 2013 nikiwa katika shule ya MEADOW HALL SCHOOL, lekki, Lagos Nigeria.
Hii shule ina mchanganyiko wa wanafunzi mbali mbali kutoka mataifa mbali mbali,
Nakumbuka watanzania walikuwa watatu, na mm wa ni wanne.
Hao niliowataja ni moja katika wa class mates niliosoma nao,
Haswa doreen botiwunolowa ayetunde, alikuwa demu wangu, aisee wanaija nao watamu kwa michezo ya jogoo.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.