Mkuu hata id yako pia inafurahishaUko sahihi..akina teacher Fumbuka, masumai, kasanda, mkwangwanyule nk
Aisee, alikamisheni kweli huyu?Daudi Kafila Nyankuma TMA monduli 2013.
dah mboy wa box 2 mwambojoke alikuwa anasimamia milango tisa kama sijasahau! umenikumbusha mbali sana. chairman mbaga kama sijasahauASANGALWISYE MWAMBOJOKE songea boys secretary 2009
JOHN SAMBILICHUMA MHANGA kalenga sec physics teacher 2008--2012
ASUMWISYE MWAISEMBA Songea boys 2009 pcm
ASWILE MPEGESA Songea boys 2009 pcm
Nilisoma na GOGOMOKA MISALABA Minaki Sec School 1995 - 1997 yeye akiwa nyuma yangu mwaka mmoja...Nimefurahi kulisikia tena jina lake leo. Sijui yupo wapi sasa!