Top Ten footballers Tanzania ever produced

1.Athumani Mambosasa-If in doubt ask any Egypt's Mehalla el- Kubra 1970's fan.

2. Sunday Manara-First ever Tanzanian footballer to play professional in Europe.

3.Abdallah Kibadeni-Simply King.

4. Gibson Sembuli-Hot shoot Hamish.

5. Maulidi Dilunga-African 11 Captain.

6. Omary Mahadhi-Tanzania One(Original)

7. Zamoyoni Mogella-Golden Boy

8. Gobos-Pioneer

9. Omary Gumbo-Zilipendwa

10. Omary Hussaini-Keegan

Bravo man, ila maoni yangu ni kuwa badala ya Omari Hussein weka the best right-winger of all time, ni mchuano mkali kati ya Willy Mwaijibe na Leonard Chitete. Hawa wawili walikuwa wakali kuliko 'Keegan'.
 
- Mkuu hapa nafikirii the ishu ni lini umeanza kujihusisha na mpira period na hasa nini IQ yako na huu mchezo, wengine tulikuwa tunaucheza toka chandimu, na kukusaidia zaidi ni kwamba enzi hizo Tanzania kutokana na siasa iliyokuwepo entertainment kwa wananchi baada ya kazi, haikuwa na nafasi sana katika ule mfumo wa utawala, kwa hiyo ni mpira na ubaharia, baadaye na muziki wa Disco ndivyo vilitawala as a must thing kwa vijana wengi wa mijini, as the results pamoja na umri mdogo tuliokuwa nao, bado tuliweza kufuatilia mpira wa hapa bongo na hata nje pia tena to the extreme levels.

- Edibily, alikuwa almost level ya Leonard Chitete wa Yanga, kwa kuweza kucheza na chaki always, lakini bado asingeweza kumzidi Chitete na Willy Mwaijibe wa Simba. Huko Ajax ya Uholanzi tunamkumbuka sana Joan Cruyff ambaye ndiye pekee aliyejulikana sana in the 80s toka hiyo timu, halafu pia una raise a very interesting question maana hawa kina Bryan Roy na Cruffy wewe ulikuwa hujazaliwa sasa umejuaje mkuu?




- Athumani China, alikuwa ndio masalio ya mwisho mwisho ya the enzi, ambapo kwenye hiyo line ya mwisho wa enzi, utawakuta kina Said Kizota, Mlage Kabange, Rashid Idd Chama, Freddy Felix Minziro, Zamoyoni Mogella, Omar Hussein, Malota Soma, Hassan Gagarino, Juma Mkambi, Makumbi Juma, Gebo Peter, Mwalusako, Jamhuri Kiwelo, Mwameja, na wengineo they were just local heros, lakini internationally hakuna aliyewajua na hawakuwahi kushinda ubingwa wowote nje ya bongo!

- Enzi za 70s, nilikuwa dogo lakini wazazi wengi enzi hizo walikuwa na tabia ya kutuchukua huko uwanja wa Taifa na Karume, kwenye mechi kubwa, kwa hiyo yes nilianza na idea na mpira nikiwa dogo sana na besides, mashuleni hata majumbani ilikuwa must mambo ya chandimu kwa hiyo ndio maana sina tatizo ku-analyse mpira wa sasa na wa zamani, binafsi siku hizi niliacha hata kufuatilia locally maana nili-conclude siku nyingi kuwa ni waste of time!

- Kwa hiyo mkuu sina sababu ya kukudanganya, in the 80s mpaka mwishoni mwa 90s, bongo tumeishi mpira, Disco, Muziki wa local bands, na ubaharia. Naona in the 2000s, imekuwa bongoflav na siasa zaidi. Malota Soma, alikuwa good locally infact usingeweza kuuona uzuri wa Mogella bila kuwepo Malota, ndio maana siku zote walikuwa wakifuatana kila wanpokwenda.

- Otherwise, mkuu huu wa sasa sio mppira tena ni just a pass time thing, infact leo kila fani ya michezo nchin imeshuka na hakuna uwezekano wa kufikia level ya zamani, ingawa shocking thing ni kwamba wachezaji wa sasa wanalipwa hela za ajabu sana, kuliko wale bora zaidi wa zamani!

Respect.

FMEs!

My football IQ? Mkuu, i talk and walk the walk. I am football, football is me.
Mimi nimepita hiyo level yako ya chandimu. Mimi kwa pesa yangu mwenyewe ya kubeba boksi nimemaliza HighSchool nikaalikwa marekani nicheze college soccer (baada ya wenyewe kuniambia nitume video, nikatoa nje nikasema nakuja mwenyewe). Nimeenda trials siku 2 tu nikapata full scholarship (siku ya 3 nikavuta hamstring, nikashindwa kwenda College Nyingine, Virginia Tech for trials). This was begining of that particular year to start College Sep. Nikageuza, nikapiga mahesabu, nikaona niingie UK nikijua UK ni kisomo na mpira unachezeka ulaya (USA as an Athlete all they care is you doing well in sport, hawajali kisomo chako kwa sana...which is a problem for your longterm future if you get injured). UK nikashika kitabu, hamna muda wa mpira. I dont regret lakini nimejifunza mengi and believe you me I got a great education.
Hata leo hii nacheza 5-a-side, and within a match I can do somethin that will get people either open mouth or nodding just for the hell of it.

Ninavyo analyse mpira wetu wa bongo inatokana na experience yangu mwenyewe, makosa niliyofanya na tunayofanya, hata kama sikufika level ya juu. Its a thin line between making it and not. Mimi nimetoka bongo, skills plenty (I was under 10yrs playing with people in late teens/twenties chandimu), nimepiga tizi na kina Clement Kahabuka (Lake Secondary Mwanza), Aron Nyanda (alikuja kucheza Yanga) nimepiga naye primary (jamaa alikuwa kijeba), kuna mchezaji mwingine alikuja kucheza Simba (alisoma Moshi Tech) alikuwa anaitwa "Injini", the guy was big and I would cancel him (kama kuna mtu kasoma Moshi Tech atamnjua). Vijana wa kwa kina Ngassa, Shigongoz nimepiga nao mpira(these are footballing families).

Nimepiga mpira Uholanzi, kocha let me run wild. Baada ya hapo ikaanza discipline, yaani ku-control insintictive runs. Ukiangalia mpira wa timu ya taifa Holland ni very robotic, however beautiful, but very predictable (kwa mtu anayejua mpira ataelewa nasema nini). Nimeenda marekani kocha ananiambia, you are african, be free, you are too cautious I can see dutch football has influenced you, akanifananisha style yangu na waBrazil. Jamaa aliniambia nimtafutie wachezaji kutoka Tanzania, mpaka leo hii nikipiga simu, the guy would help me with anything, ingawa sikuenda kuchezea timu yake.

Mkuu FM ES, kila nikienda bongo nikakutana na mtu aliyenijua nacheza mpira huwa ananiuliza vipi mpira? Wengine wanategemea ningekuwa timu kubwa sasa.

Sasa mkuu, mimi I didnt make it. Kuna sababu nyingi. One was language barrier, guidance (sikupata mtu wa kunipush, I needed guidance. Kila kitu nilichofanya nilifanya kwa bidii zangu nikabalance masomo na mpira). Hamstring injuries. Tatizo jingine ni ubaguzi. Mimi nimepiga pre-season game against Ajax. Pia kulikuwa na veteran timu ya Ajax (believe me they were very good, timu ambayo nadhani Bergkamp anacheza sasa hivi) tulikuwa tunacheza nayo, mechi hizo zikifika kocha ananiweka benchi....kwasababu mechi kama hizo kuna mascouts wa timu kubwa. Kwahiyo wazungu wanapangwa au watoto wa members/viongozi wa klabu (maana kila familia inataka mtoto wao atoke). Kuna kipindi fomu yangu ya usajili iling'ang'aniwa nilipoomba kuhama (sikujua lugha wala sheria nikakubali matokeo), so a form of ignorance and not knowing.

Bryan Roy ni mchezaji wa late 80's to Mid 90's akachezea Middlesborough. Cruyff kaacha kucheza 1984 (na jina katengeneza 70s). Legacy yake iko kwenye videos (sijacompare Roy na Cruyff, hiyo unafanya wewe. Cruyff is something else). Nimemwona Bryan Roy live in the 90s.
Sunday Manara kacheza Heracles, ukisoma historia ya Heracles hata hatajwi, na wala timu hiyo haikuwa ligi kuu kipindi hicho. Mchezaji wa Heracles anayejulikana mweusi katika historia ni Mokane (south Africa from the 50s sijui au 60s). Ila najua nikiwasiliana na Heracles naweza kupata kideo za kipindi hicho ili tum-analyse. I dont doubt he was a good player.


All I am saying is, what have we done? Mpira sio skills tu, which we have plenty. Mpira ni vitu vingi. Kijana Ngassa kaenda West Ham kashindwa. All I had to do is look at his videos on Youtube and I can tell his weaknesses.
He has a very short time to improve, otherwise age itampita kuforce kuingia EU.

Mwisho, nakupa mfano wa mchezaji Jay Jay Okocha. Huyu jamaa anasifika sana Africa na alikuwa anafunga magoli mazuri sana. Ila mimi niujuavyo mpira, siwezi nikamweka katika timu yangu, because he is a bad team player (anaweza akapiga chenga ili mradi akenue tu meno na kushangiliwa, football ya Ulaya you need end product). Na hii ni sababu moja hajawahi kucheza timu kubwa Ulaya....by that I mean Manu, Liverpool, Arsenal, Barca, AC....mtu anayeelewa mpira atanisoma. Analogy hii, iunganishe na aina ya wachezaji wa kwetu.
 
Tatizo la mpira wa Tanzania ni kwamba radio tanzania ndio ilikuwa inakuza majina ya wachezaji.Wengi wa mikoani ,tulitegemea masimulizi ya radio tu,huwezi kumwona mchezaji live!
Kwa hiyo tuliwaoverate wachezaji bila hata kuwaona na kulinganisha na wachezaji wengine bara la afrika au Ulaya.
Kuhusu Mohamed China kucheza Uingereza hii ni propaganda kubwa sana!Hata Mwameja alisemekana hivyo.Wahindi wafadhili waliyudanganya sana.

Wanaojua mpira ,ligi top class ni Spain,Italy.England,kidogo Germany na France.
Zingine ni uchwara tu,ila kama una toka nchi maskini ukicheza kama Denmark,Norway,Austria etc sio mbaya kupata pesa kidogo.

Kwa hiyo Kassim Manara kusheza Austria sio deal sana.Ndio maana tumeshindwa hata kucheza Africa Cup of Nations,ina maana wacheza wetu sio wazuri kama tunavyowasifia tangu miaka yote.

Mambosasa tutamjua tu wabongo,lakini ukiuliza Thomas Nkono ni afrika na dunia nzima wanaojua mpira!



Naomba nikulekebishe kidogo Mkuu,

Sio Muhamed China ni Athuman China (Athuman Abdallah Mchabwa)
Unajua kama mambo huyajui bora uyaache ya pite,wachezaji weyu wa kipindi hicho walikua na uwezo na baadhi yao (China) waliweza kufika huko ambako wewe unahisi hawawezi kufika.
Kama jambo hilo lilikupita na hukifahamu la mchezaji huyo kucheza huko UK,ungeuliza hata kwa wakubwa zako waliokuwapo kipindi hicho.
Huyo mchezaji alicheza timu ya Daraja la pili inaitwa Wolsoe (sidhani kama spelling ziko sawa)
Au kwa kukurahisishia nenda kwenye blog ya michuzi,yeye alikua karibu na huyo mchezaji muulize kuhusu hilo.
 
My football IQ? Mkuu, i talk and walk the walk. I am football, football is me.
Mimi nimepita hiyo level yako ya chandimu. Mimi kwa pesa yangu mwenyewe ya kubeba boksi nimemaliza HighSchool nikaalikwa marekani nicheze college soccer (baada ya wenyewe kuniambia nitume video, nikatoa nje nikasema nakuja mwenyewe). Nimeenda trials siku 2 tu nikapata full scholarship (siku ya 3 nikavuta hamstring, nikashindwa kwenda College Nyingine, Virginia Tech for trials). This was begining of that particular year to start College Sep. Nikageuza, nikapiga mahesabu, nikaona niingie UK nikijua UK ni kisomo na mpira unachezeka ulaya (USA as an Athlete all they care is you doing well in sport, hawajali kisomo chako kwa sana...which is a problem for your longterm future if you get injured). UK nikashika kitabu, hamna muda wa mpira. I dont regret lakini nimejifunza mengi and believe you me I got a great education.
Hata leo hii nacheza 5-a-side, and within a match I can do somethin that will get people either open mouth or nodding just for the hell of it.

Ninavyo analyse mpira wetu wa bongo inatokana na experience yangu mwenyewe, makosa niliyofanya na tunayofanya, hata kama sikufika level ya juu. Its a thin line between making it and not. Mimi nimetoka bongo, skills plenty (I was under 10yrs playing with people in late teens/twenties chandimu), nimepiga tizi na kina Clement Kahabuka (Lake Secondary Mwanza), Aron Nyanda (alikuja kucheza Yanga) nimepiga naye primary (jamaa alikuwa kijeba), kuna mchezaji mwingine alikuja kucheza Simba (alisoma Moshi Tech) alikuwa anaitwa "Injini", the guy was big and I would cancel him (kama kuna mtu kasoma Moshi Tech atamnjua). Vijana wa kwa kina Ngassa, Shigongoz nimepiga nao mpira(these are footballing families).

Nimepiga mpira Uholanzi, kocha let me run wild. Baada ya hapo ikaanza discipline, yaani ku-control insintictive runs. Ukiangalia mpira wa timu ya taifa Holland ni very robotic, however beautiful, but very predictable (kwa mtu anayejua mpira ataelewa nasema nini). Nimeenda marekani kocha ananiambia, you are african, be free, you are too cautious I can see dutch football has influenced you, akanifananisha style yangu na waBrazil. Jamaa aliniambia nimtafutie wachezaji kutoka Tanzania, mpaka leo hii nikipiga simu, the guy would help me with anything, ingawa sikuenda kuchezea timu yake.

Mkuu FM ES, kila nikienda bongo nikakutana na mtu aliyenijua nacheza mpira huwa ananiuliza vipi mpira? Wengine wanategemea ningekuwa timu kubwa sasa.

Sasa mkuu, mimi I didnt make it. Kuna sababu nyingi. One was language barrier, guidance (sikupata mtu wa kunipush, I needed guidance. Kila kitu nilichofanya nilifanya kwa bidii zangu nikabalance masomo na mpira). Hamstring injuries. Tatizo jingine ni ubaguzi. Mimi nimepiga pre-season game against Ajax. Pia kulikuwa na veteran timu ya Ajax (believe me they were very good, timu ambayo nadhani Bergkamp anacheza sasa hivi) tulikuwa tunacheza nayo, mechi hizo zikifika kocha ananiweka benchi....kwasababu mechi kama hizo kuna mascouts wa timu kubwa. Kwahiyo wazungu wanapangwa au watoto wa members/viongozi wa klabu (maana kila familia inataka mtoto wao atoke). Kuna kipindi fomu yangu ya usajili iling'ang'aniwa nilipoomba kuhama (sikujua lugha wala sheria nikakubali matokeo), so a form of ignorance and not knowing.

Bryan Roy ni mchezaji wa late 80's to Mid 90's akachezea Middlesborough. Cruyff kaacha kucheza 1984 (na jina katengeneza 70s). Legacy yake iko kwenye videos (sijacompare Roy na Cruyff, hiyo unafanya wewe. Cruyff is something else). Nimemwona Bryan Roy live in the 90s.
Sunday Manara kacheza Heracles, ukisoma historia ya Heracles hata hatajwi, na wala timu hiyo haikuwa ligi kuu kipindi hicho. Mchezaji wa Heracles anayejulikana mweusi katika historia ni Mokane (south Africa from the 50s sijui au 60s). Ila najua nikiwasiliana na Heracles naweza kupata kideo za kipindi hicho ili tum-analyse. I dont doubt he was a good player.


All I am saying is, what have we done? Mpira sio skills tu, which we have plenty. Mpira ni vitu vingi. Kijana Ngassa kaenda West Ham kashindwa. All I had to do is look at his videos on Youtube and I can tell his weaknesses.
He has a very short time to improve, otherwise age itampita kuforce kuingia EU.

Mwisho, nakupa mfano wa mchezaji Jay Jay Okocha. Huyu jamaa anasifika sana Africa na alikuwa anafunga magoli mazuri sana. Ila mimi niujuavyo mpira, siwezi nikamweka katika timu yangu, because he is a bad team player (anaweza akapiga chenga ili mradi akenue tu meno na kushangiliwa, football ya Ulaya you need end product). Na hii ni sababu moja hajawahi kucheza timu kubwa Ulaya....by that I mean Manu, Liverpool, Arsenal, Barca, AC....mtu anayeelewa mpira atanisoma. Analogy hii, iunganishe na aina ya wachezaji wa kwetu.

- Mkuu Nzoka, saafi sana isipokuwa kwenye post yako ya kwanza uliharibu uliposema kwamba wachezaji wa zamani usowajua wala kuwaona, hawana lolote na kwamba sisi tuliowaona tunadanganya, ndio maana nikajaribu kukufahamisha kwamba mtu mwenye IQ kubwa ya soccer, hutakiwi kutoa statement za namna hii, unatakiwa kuwa makini kidogo na analysis yoyote inayowahusu wachezaji wa soccer, wa zamani na wa sasa.

- Point yangu ya msingi hapa kuhusiana na hii mada, ilikuwa kwamba kama kweli unataka kuamua nani amewahi kuwa mchezaji bora Tanzania, basi ni lazima ufuate njia za kisasa, nazo ni kwa kumuhukumu mchezaji kutokana na kutambulika kwake internationally. Ndio nikasema Dilunga, ndiye mchezji wa kwanza Tanzania, kuchaguliwa katika timu ya Africa akifuatana na Omar Mahadhi, walienda nayo Mexico since then hajatokea mwingine tena wa kufikia level hiyo, ingawa hiyo michezo ya mabara ipo mpaka leo!

- Sunday Manara na Kassim Manara, ndio wachezaji wa kwanza Tanzania kwenda kucheza Europe kwenye professional ball, nini matokeo yao huko sio tija sana kwetu Tanzania kwa sababu kila tulipowahitaji kwenye national team walikuwa available na walikuwa na kiwango cha juu sana kimpira, timu zao huko majuu ziliwanunua kupitia chama chetu cha mpira FAT ambacho kiliweza kukusanya hela nyingi sana kama ada, licha ya timu yao local hapa bongo yaani Pan African, sasa una maana wazungu walikubali kuwalipia magarasa wasiokuwa na faida nao? It does not make a sense!

- Halafu point yangu nyingine ni kwamba hawa wachezaji wa zamani ninaowasifia, waliweza sana kushinda kombe la ubingwa wa Afrika Mashariki na ya kati kwa vilabu na hata kwa timu za taifa, kitu ambacho hawa wachezaji wa sasa wameshindwa kabisaa. Simba walikuwa ndio wa kwanza kushinda kombe la ubingwa wa East and Central, tena kama ninaikumbuka vizuri nitajaribu hata kukutajia wachezaji wao walioshiriki kushinda kombe hilo:-

1. Athuman Mambosassa
2. Shabaan Baraza/Daud Salum "Bruce Lee".
3. Mohamed Kajole "Machela"
4. Khalid Abeid.
5. Choggo Mluya.
6. Omar Gumbo.
7. Willy Mwaijibe.
8. Haidari Abeid.(Captain).
9. Adam Sabu.
10. Abdallah Kibaden "King"
11. Abass Dilunga.

- Mwaka uliofuatia, Yanga waliwanyang'anya na list yao ilikuwa kama sikosei:-

1. Elias Michael.
2. Seleman/Juma Shaabaan.
3. Boy Wickens.
4. Hassan Goboss/Leodgar Tenga.
5. Omar Kapera.
6. Abdulrahman Juma.(Captain).
7. Laonard Chitete.
8. Sunday Manara.
9. Kitwana Manara. (Popat).
10. Gibson Sembuli.
11. Maulid Dilunga.

- Kwanza timu hizi mbili zilikutana uwanja wa Nyamagana Mwanza, kwenye finali ya ubingwa wa Tanzania, Yanga wakawapiga Simba magoli 2 kwa 1, wafungaji wa Yanga wakiwa Sunday na Sembuli, halafu within a month wakakutana tena uwanja wa Amaaan Zanzibar kwenye finali ya ubingwa wa East Africa, ambako again Yanga walishinda tena kwa magoli 2 kwa 1, wafungaji wakiwa ni wale wale wa Yanga, mkuu wangu hizi mechi mbili siamini kwamba Tanzania locally tumeshawahi kufikia level yake maana hii ilikuwa ni level ya juu sana ambayo ungeweza kuifananisha na Europe tu sio Africa, ndio maana hata timu kubwa za Europe zilikuwa zinakubali kuja kucheza Tanzania bila tatizo kwa kujua kwamba wangepata challenge ya juu sana.

- Enzi hizo tulizishuhudia timu kubwa Duniani kama, Norwich City, Sunderland, Liverpool, Manhester City, Manchester United, za UK zikija bongo kuchuana na Yanga na Simba, and then timu maarufu huko Brazil kama Fluminense, ABC, na Santos ambao walikuja bila Pele, pamoja na zile khanga zilizokuwa na maneno ya "Pele na Santos ni wageni wa Yanga", I mean Tanzania tulikuwa tunaheshimika sana kwenye ulimwengu wa soka, infact wachezaji kama Sunday Manara na Kibaden King wamefanya hata wapenzi wa michezo katika sehemu za Zambia, Malawi, na Mombasa, Kenya wameacha watu wakijiita majina yao, na hata Jumapondamali pia.

- Halafu tulikuwa na taifa ambayo haikuwa na tatizo kushinda kombe la mataifa ya East Africa, ninajaribu kuikumbuka ile timu ikiwa na wachezaji kama:-

1. Omar Mahadhi Bin Jabir.
2. Mweri.
3. Mohamed chuma.
4. Hassan Goboss.
5. Omar Zimbwe.
6. Abdulrahman Juma.(Captain).
7. Willy Mwaijibe.
8. Mohamed Salim.
9. Kitwana Manara.
10. Maulid Dilunga.
11. Hussein Ngulungu.

- I could be wrong, lakini mkuu wangu hawa wachezaji na hii timu, hawakuwahi kufungwa na Rwanda wala Burundi hata siku moja, never kama ilivyo siku hizi tunafungwa na Rwanda? that is a joke, I mean mechi ya nusu fainali ya kombe la ubingwa wa Africa, Simba na Mehala El-Kubra hivi utalinganisha na mechi gani ya hivi karibuni hapa bongo, nothing! hakuna! Timu zilizokuwa zinatupa tabu zilikuwa Kenya na Uganda, maana na wao walikuwa kabambe sana, lakini in the end Tanzania tulikuwa tunashinda bila wasi wasi, lakini sio kama leo aibuu tupu!

Respect.

FMEs!
 
Naomba nikulekebishe kidogo Mkuu,

Sio Muhamed China ni Athuman China (Athuman Abdallah Mchabwa)
Unajua kama mambo huyajui bora uyaache ya pite,wachezaji weyu wa kipindi hicho walikua na uwezo na baadhi yao (China) waliweza kufika huko ambako wewe unahisi hawawezi kufika.
Kama jambo hilo lilikupita na hukifahamu la mchezaji huyo kucheza huko UK,ungeuliza hata kwa wakubwa zako waliokuwapo kipindi hicho.
Huyo mchezaji alicheza timu ya Daraja la pili inaitwa Wolsoe (sidhani kama spelling ziko sawa)
Au kwa kukurahisishia nenda kwenye blog ya michuzi,yeye alikua karibu na huyo mchezaji muulize kuhusu hilo.

Alicheza Walsall mechi 5 tu. Sijui ikatokea nini.

- Mkuu Nzoka, saafi sana isipokuwa kwenye post yako ya kwanza uliharibu uliposema kwamba wachezaji wa zamani usowajua wala kuwaona, hawana lolote na kwamba sisi tuliowaona tunadanganya, ndio maana nikajaribu kukufahamisha kwamba mtu mwenye IQ kubwa ya soccer, hutakiwi kutoa statement za namna hii, unatakiwa kuwa makini kidogo na analysis yoyote inayowahusu wachezaji wa soccer, wa zamani na wa sasa.

FMEs!

Ok mkuu, nilikosea hiyo ishu ila nilisema kwa utani. Na kilichonifanya niseme hivyo ni kuona watu wanataja average players kwenye list zao kama kina John Makelele "zig-zag", Ken Mkapa, Mwakalebela et. al.
Mimi sija doubt kwamba hawa wachezaji walikuwa wazuri, ila nina question whether they were as good as people say. Good in our terms is different to international terms.

Mchezaji anayesifika sana katika historia ya Tanzania ni Sunday Manara. Mkuu, Heracles ni timu ndogo sana Uholanzi. Haijawahi (as far as I know) kutoa mchezaji hata mmoja aliyekuja kuchezea timu ya taifa. Na wakati anacheza hapo haikuwa Ligi Kuu. If he was as good as we make him to be angechukuliwa na timu zingine kubwa kama Ajax, Feyenoord au hata Twente majirani zao. Kassim Manara alicheza Australia, now since when is Australia a footballing nation? Wachezaji hata wa nchi nyingine za Afrika wanaocheza ligi za daraja la pili au tatu, wakirudi kuchezea timu ya taifa wanashine tu....ila kwanini hawa break madaraja ya juu? Wanaobreak kirahisi ni wale waliokuja Ulaya kama teenagers (because they can be "moulded")...samaki mkunje angali mbichi.

I find this thread depressing kwasababu tunang'ang'ania so called 'past glories'. Ili tufanikiwe sasa hivi inatakiwa vijana wa under 17 wasambazwe ulaya. Kujaribu kupeleka wachezaji Ulaya over 21 inakuwa nikubahatisha, sio kwamba haiwezekani, ila kubadili mentality ya mchezaji "aliyezeeka" ni ngumu. Wachache wata-make it.
 
My football IQ? Mkuu, i talk and walk the walk. I am football, football is me.
Mimi nimepita hiyo level yako ya chandimu. Mimi kwa pesa yangu mwenyewe ya kubeba boksi nimemaliza HighSchool nikaalikwa marekani nicheze college soccer (baada ya wenyewe kuniambia nitume video, nikatoa nje nikasema nakuja mwenyewe). Nimeenda trials siku 2 tu nikapata full scholarship (siku ya 3 nikavuta hamstring, nikashindwa kwenda College Nyingine, Virginia Tech for trials). This was begining of that particular year to start College Sep. Nikageuza, nikapiga mahesabu, nikaona niingie UK nikijua UK ni kisomo na mpira unachezeka ulaya (USA as an Athlete all they care is you doing well in sport, hawajali kisomo chako kwa sana...which is a problem for your longterm future if you get injured). UK nikashika kitabu, hamna muda wa mpira. I dont regret lakini nimejifunza mengi and believe you me I got a great education.
Hata leo hii nacheza 5-a-side, and within a match I can do somethin that will get people either open mouth or nodding just for the hell of it.

Ninavyo analyse mpira wetu wa bongo inatokana na experience yangu mwenyewe, makosa niliyofanya na tunayofanya, hata kama sikufika level ya juu. Its a thin line between making it and not. Mimi nimetoka bongo, skills plenty (I was under 10yrs playing with people in late teens/twenties chandimu), nimepiga tizi na kina Clement Kahabuka (Lake Secondary Mwanza), Aron Nyanda (alikuja kucheza Yanga) nimepiga naye primary (jamaa alikuwa kijeba), kuna mchezaji mwingine alikuja kucheza Simba (alisoma Moshi Tech) alikuwa anaitwa "Injini", the guy was big and I would cancel him (kama kuna mtu kasoma Moshi Tech atamnjua). Vijana wa kwa kina Ngassa, Shigongoz nimepiga nao mpira(these are footballing families).

Nimepiga mpira Uholanzi, kocha let me run wild. Baada ya hapo ikaanza discipline, yaani ku-control insintictive runs. Ukiangalia mpira wa timu ya taifa Holland ni very robotic, however beautiful, but very predictable (kwa mtu anayejua mpira ataelewa nasema nini). Nimeenda marekani kocha ananiambia, you are african, be free, you are too cautious I can see dutch football has influenced you, akanifananisha style yangu na waBrazil. Jamaa aliniambia nimtafutie wachezaji kutoka Tanzania, mpaka leo hii nikipiga simu, the guy would help me with anything, ingawa sikuenda kuchezea timu yake.

Mkuu FM ES, kila nikienda bongo nikakutana na mtu aliyenijua nacheza mpira huwa ananiuliza vipi mpira? Wengine wanategemea ningekuwa timu kubwa sasa.

Sasa mkuu, mimi I didnt make it. Kuna sababu nyingi. One was language barrier, guidance (sikupata mtu wa kunipush, I needed guidance. Kila kitu nilichofanya nilifanya kwa bidii zangu nikabalance masomo na mpira). Hamstring injuries. Tatizo jingine ni ubaguzi. Mimi nimepiga pre-season game against Ajax. Pia kulikuwa na veteran timu ya Ajax (believe me they were very good, timu ambayo nadhani Bergkamp anacheza sasa hivi) tulikuwa tunacheza nayo, mechi hizo zikifika kocha ananiweka benchi....kwasababu mechi kama hizo kuna mascouts wa timu kubwa. Kwahiyo wazungu wanapangwa au watoto wa members/viongozi wa klabu (maana kila familia inataka mtoto wao atoke). Kuna kipindi fomu yangu ya usajili iling'ang'aniwa nilipoomba kuhama (sikujua lugha wala sheria nikakubali matokeo), so a form of ignorance and not knowing.

Bryan Roy ni mchezaji wa late 80's to Mid 90's akachezea Middlesborough. Cruyff kaacha kucheza 1984 (na jina katengeneza 70s). Legacy yake iko kwenye videos (sijacompare Roy na Cruyff, hiyo unafanya wewe. Cruyff is something else). Nimemwona Bryan Roy live in the 90s.
Sunday Manara kacheza Heracles, ukisoma historia ya Heracles hata hatajwi, na wala timu hiyo haikuwa ligi kuu kipindi hicho. Mchezaji wa Heracles anayejulikana mweusi katika historia ni Mokane (south Africa from the 50s sijui au 60s). Ila najua nikiwasiliana na Heracles naweza kupata kideo za kipindi hicho ili tum-analyse. I dont doubt he was a good player.


All I am saying is, what have we done? Mpira sio skills tu, which we have plenty. Mpira ni vitu vingi. Kijana Ngassa kaenda West Ham kashindwa. All I had to do is look at his videos on Youtube and I can tell his weaknesses. He has a very short time to improve, otherwise age itampita kuforce kuingia EU.

Mwisho, nakupa mfano wa mchezaji Jay Jay Okocha. Huyu jamaa anasifika sana Africa na alikuwa anafunga magoli mazuri sana. Ila mimi niujuavyo mpira, siwezi nikamweka katika timu yangu, because he is a bad team player (anaweza akapiga chenga ili mradi akenue tu meno na kushangiliwa, football ya Ulaya you need end product). Na hii ni sababu moja hajawahi kucheza timu kubwa Ulaya....by that I mean Manu, Liverpool, Arsenal, Barca, AC....mtu anayeelewa mpira atanisoma. Analogy hii, iunganishe na aina ya wachezaji wa kwetu.
Tumekuelewa INGAWAJE umejieleza sana pasipo sababu yoyote,Kila mtu akianza kujieleza kama wewe itakuwa hapatoshi hapa,Watoto wa kitanzania kila mtu kacheza na kufika stage unayoisema ya kucheza na hao akina Kahabuka ,shigongos et al.Wengine tumepiga hadi UMISETA TAIFA(ulikuwa hujazaliwa) tulikuwa tunaenda Zambia.
Ungetoa maelezo just in short yakaeleweka.mukulu EMS amejaribu kukuchambulia tu yaliyojiri enzi hizo.
RESPECT.
 
Thanks FMES Kwa kukumbuka wakati ule naona majina mengi ya wadau waliyoyatoa ni vijana wa enzi za mwaka 90 na kitu.....Kuna mchezaji anaitwa MWINDA RAMADHANI(MAAJABU) alikuwa anachezea Yanga...Maana alikuwa one chance one goli kwa kweli ni mhezaj mzuri sana ambaye tulikuwa na alikua mchezaji wa timu ya taifa ya kuaminika na alikuwa kocha wa yanga pia...Hata ukigoogle MWINDA RAMADHANI utamuona......Pamoja bandugu!
 
Tumekuelewa INGAWAJE umejieleza sana pasipo sababu yoyote,Kila mtu akianza kujieleza kama wewe itakuwa hapatoshi hapa,Watoto wa kitanzania kila mtu kacheza na kufika stage unayoisema ya kucheza na hao akina Kahabuka ,shigongos et al.Wengine tumepiga hadi UMISETA TAIFA(ulikuwa hujazaliwa) tulikuwa tunaenda Zambia.
Ungetoa maelezo just in short yakaeleweka.mukulu EMS amejaribu kukuchambulia tu yaliyojiri enzi hizo.
RESPECT.

Nadhani kasema IQ yangu ya mpira ndogo. Nami nikamweleza jinsi navyojua mpira na nilikopitia na vitu tunavyoweza kuwa tunakosea tusifike level ya kimataifa. As a teenager I had a value on my head to study at a University for free sababu ya mpira. Wewe hiyo UMISETA imekusomesha bure au umekusaidia nini kuelewa mpira wa nje zaidi ya kuangalia kwenye luninga?
Hujakatazwa kueleza. Elezea basi.
Naweza kuelewa kwanini mchezaji mzuri kama Njohole hajafanikiwa Ulaya so far, naelewa cos I lived it. Wewe UMISETA imekufundisha nini?
 
Charles Boniface Mkwasa MASTER
Abeid MZiba Tekero
Celestine Mbunga Sikinde
Ooctavian Mrope
Juma General Mkambi
Justine Simfukwe
Dua Said
Mohammed hussein Mmachinga
Athuman juma Chama
 
Alicheza Walsall mechi 5 tu. Sijui ikatokea nini.

Ok mkuu, nilikosea hiyo ishu ila nilisema kwa utani. Na kilichonifanya niseme hivyo ni kuona watu wanataja average players kwenye list zao kama kina John Makelele "zig-zag", Ken Mkapa, Mwakalebela et. al.
Mimi sija doubt kwamba hawa wachezaji walikuwa wazuri, ila nina question whether they were as good as people say. Good in our terms is different to international terms.

- Mkulu Nzoka hapa ni lazima ukubali kwamba wachezaji wa zamani walikuwa good as we say, kwa sababu tunakupa mfano mdogo sana kwamba wao waliweza kushinda kombe la ubingwa wa vilabu kwa East Africa na hata lombe la Challenge la matafia ya East Africa mara nyingi sana, infact kwenye vilabu siku zote kwenye ubingwa wa Africa tuliweza kufika robo na nusu finali, na pia kwenye taifa tuliwahi hata kufika finali ya mataifa ya Africa, mkuu wewe mwenyewe unajua kwamba siku hizi haya yote yamekuwa ndoto, sasa kwa hili peke yake ni lazima ukubali kuwa wachezaji wa zamani walikuwa ni bora sana kuliko wa sasa!

Mchezaji anayesifika sana katika historia ya Tanzania ni Sunday Manara. Mkuu, Heracles ni timu ndogo sana Uholanzi. Haijawahi (as far as I know) kutoa mchezaji hata mmoja aliyekuja kuchezea timu ya taifa. Na wakati anacheza hapo haikuwa Ligi Kuu. If he was as good as we make him to be angechukuliwa na timu zingine kubwa kama Ajax, Feyenoord au hata Twente majirani zao.
- Again hapa mkuu unashindwa kuona the symbolic factor ya Sunday Manara kama the first Tanzanian kununuliwa na timu ya Europe, regardless of what daraja timu ile ilikuwa ni irrelevant, wao walichofanya walifuata sheria zetu za michezo na kuja bongo kumnunua as a professional player, sasa kama huko majuu alicheza au hakucheza sio an ishu tena kwetu, lakini one thing Pan African walipomuhitaji kuja Arusha kushiriki kwenye mechi yao ya kombe la washindi la Africa, alikuja na kuiwezesha Pan kushinda ule mchezo na bado Sunday aliendelea kuwa mchezaji wetu wa taifa na hao Heracles siku zote walikuwa open kumtuma mara moja tulipokuwa tukimuhitaji kwenye national au Pan.

- Sasa mkuu sio kila mchezaji anayenunuliwa kutoka nje ya ligi za Europe anapokwenda huko majuu lazima atambe ndio iwe a standard kwamba alikuwa mchezaji mzuri, hapana kitendo cha timu ya Europe kuja bongo na kumnunua mchezaji kwenda kuwa a professional player peke yake ni heshima kwa mchezaji na taifa letu, kumbuka toka Sunday na Kassim haijatokea tena mchezaji kuwa kununuliwa na wazungu kama wao, siku hizi ni mchezaji mwenyewe na washikaji ndio wanasaidiana kumfanya available kwa kumpeleka majuu ili akajaribishwe kwenye mazoezi ya hizo timu za majuu kwanza na siku zote huwa hatuwasikii tena wakicheza mpira, lakini Sunday Manara na Kassim, siku zote habari zao zilikuwa zinarudi bongo wakishiriki kwenye timu zilizowanunua.


Kassim Manara alicheza Australia, now since when is Australia a footballing nation? Wachezaji hata wa nchi nyingine za Afrika wanaocheza ligi za daraja la pili au tatu, wakirudi kuchezea timu ya taifa wanashine tu....ila kwanini hawa break madaraja ya juu? Wanaobreak kirahisi ni wale waliokuja Ulaya kama teenagers (because they can be "moulded")...samaki mkunje angali mbichi.
- Hapo mkuu unahitaji marekebisho kidogo, Kassim Manara, alikwenda kucheza professional in Austria, Europe sio Australia kama ulivyosema hapo, na kama unaongelea Austria, basi mkuu hao wamekuwa juu kwenye soka kwa muda mrefu sana na wamekuwa wakiwika kwenye finali za World Cup kwa muda mrefu sana.

- Kwa nini wachezaji wa zamani hawakuweza ku-break through kwenye ligi za Europe, ninaamini kuna majibu mengi sana na mojawapo likiwa speed, ninakumbuka wachezaji wetu wengi walipokwenda majuu kujaribiwa sababu kubwa ya kushindwa kwao ku-make it, ilikuwa speed je linapaswa kuwa ni tatizo la nani?

- Wakulaumiwa ni system zetu za mipira Africa, hatupendi ku-invest hela nyingi kwenye michezo, lakini siku zote tunalilia matokeo mazuri kwa timu zetu. Kocha Mrumania Victor alijaribu sana kutufundisha speed, lakini hata hivyo hatukumpenda sana kwa sababu tulifkikiri anawaumiza sana wacheaji wetu na mazoezi mazito sana, ninakumbuka jinsi wachezaji wetu walivyokuwa wakimchukia kwa sababu ya mazoezi yake, itachukua muda sana Africa, mpaka tuje tukubali kuweka hela nyingi sana kwenye michezo, ingawa inaeleweka pia kwamba huenda hatuna hizo hela za michezo!


I find this thread depressing kwasababu tunang'ang'ania so called 'past glories'. Ili tufanikiwe sasa hivi inatakiwa vijana wa under 17 wasambazwe ulaya. Kujaribu kupeleka wachezaji Ulaya over 21 inakuwa nikubahatisha, sio kwamba haiwezekani, ila kubadili mentality ya mchezaji "aliyezeeka" ni ngumu. Wachache wata-make it.
- Mkuu nia na madhumuni ya hii thread ni kujaribu ku-debate nani wamewahi kuwa wachezaji wazuri katika taifa letu, na ukweli bado unasimama wenyewe kwamba wachezaji wa zamani walikuwa better kuliko wa sasa hiyo ni fact ambayo hatuwezi kuibadili.

- Kuhusu kusambazwa kwa wachezaji wetu nje wakiwa na umri mdogo, that is another topic of itself, kwa sababu sio siri zamani tulikuwa na wachezaji wengi wazuri, kutokana na system yetu wakati ule ya kuanzia michezo toka mashuleni, ninakumbuka enzi zile jinsi UMISETA yaani michezo ya Sekondari ilivyokuwa big deal na ni kutokana na UMISETA tuliweza kuwapata wachezaji maarufu locally na internationally kama:-

Nico Njohole, Jella Mtagwa, Omar Hussein, Mwinda Ramadhani, Rahim Lumelezi, James Kisaka, Mohamed Salim, George Kulagwa, Abass Kuka, Malota Soma, Roland Mzenga, Leodgar Tenga, Musa Kiwelo na wengineo, hawa seriously walikuwa ni product ya UMISETA, ambayo sijui kama bado ipo tena.

- Pia enzi hizo FAT chama cha mpira nchini walikuwa na system ya kuzisaidia klabu za Yanga na Simba tu, kutafuta talents za vijana wadogo ambao hawakupata nafasi ya ku-make it to the Sekondari School kwa kuwatafuta toka Primary School, tabia ambayo kwa mara ya kwanza tuliletewa na kocha wa Yanga Mrumania Victor, kwenye hiyo system tuliweza kwapata great players locally na internationally pia kama:-

Adolph Rishad, Hussein Mkweche, Jaffari Abdulrahman, Vivian, Bona Max, Kassim Manara, Kaburu, Rashid Idd Chama, Jumapondamali, Godian Mapango, Mohamed Yahaya Tostao, Carlos Mwinyimkuu, Juma Matokeo, na wengineo.

- Again, pia tulikuwa na michezo ya mashirika ya Umma, UMISHUMTA ambayo pia iliweza sana kutupatia baadhi ya wachezaji maarufu locally na internationally, wachezaji kama:-

Ezekiel Greyson "Jujuman" (Kurugenzi Kisarawe), Choggo Mluya(Tanzania Railways), Lila Shomari (CDA), Leopard Mukebezi(Balimi Co-operation Bukoba), Gebo Peter(Tanzania Railways), Mohamed Chuma(Bandari Mtwara), Idd Pazi, Hamzuruni(Sunguratex) na wengineo wengi, sasa hawa nao walikuwa purely product ya Mashirika ya umma.

- Then again, pia tulikua na kombe la taifa na klabu bingwa nchini, system ambazo zilikuwa zinachezwa kwa kurundika mikoa yote kwa pamoja at once kwa system ya one shot elimination, hii system ilikuwa very competitive kulinganisha ya sasa ya ligi ya kuzunguka, ambayo at its bottom inajali makusanyo ya pesa za michezo badala ya talents. Kutoka kwenye hii sysytem ndio tulipata everything, you name it yaani in terms ya wachezaji wakali, lakini siku zote tatizo letu lilikuwa ni speed, wachezaji wetu na makocha wao pia walikuwa wepesi sana kuridhika na ushindi wa locally as long wameshinda against Simba ua Yanga, basi na wengi hawakupenda mazoezi magumu kwa ajili ya stamina, kwa mara ya kwanza wachezaji wetu wanafundishwa mazoezi magumu ilikuwa ni ujio wa makocha Mrumania victor, Mzaire Tambwe Leya, na M-Guinnea Camara.

- Sasa all and all, angalau hao walijitahidi sana kuliko sasa yaani hata sijui kama kuna follow up, ninachoona siku hizi ni seriousness kwenye ads. na promotions ambazo zinalenga kwenye makusanyo ya hela tu, lakini sio kutafuta na kuendeleza vipaji, I mean my point ni kwamba wale viongozi wa michezo wa zamani, kina Hassan Dyamwale, Sammy Mdee, Tabu Mangara, Abdul Masudi, Mshindo Mkeyenge, Godfrey Mbwambo, Said El-Maamry, Kimwaga, Kayuga, Mgonja, Sarakikya, na wengineo walijitahidi sana na juhudi zao zilionekana, lakini siku hizi sijui hata kama kuna efforts, timu yetu ya taifa na hata vilabu viliweza kwenda nje kwa mazoezi, siku hizi hakuna kitu maneno mengi sana vitendo hakuna!

Respect.


FMEs!
 
Sawa FMES, historia nzuri. nakubaliana na wewe na mashindano ya UMISETA.
Lakini tayari kwenye thread yako unaongelea uvivu wetu wa mazoezi enzi hizo. Kuhusu Tanzania kwenda Kombe la Africa au All Africa Games sijui, wali qualify vipi (maana am led to believe qualification system was different back then to now)? And who were the footballing nations at the time? Ukute nchi nyingi za Africa hazikuwa organised (coming from colonial rule). Hizo timu za England zilizokuwa zinakuja TZ, je hazikuenda nchi nyingine? Look, lets have a critical analysis and not only one sided.

Wachezaji wenye potential wapo Tanzania hadi leo hii, we nenda tu kwenye Yosso yoyote au watoto wakicheza mtaani, talent ipo plenty. True, UMISETA was one of the best systems we ever had. Siamini kwamba wachezaji wa zamani were so much better than what we have today. Katika pekua pekua leo hii nimekuta interview ya Juma Pondamali kwenye blog ya bongostarz amemsifia Edibily Lunyamila....kitu ambacho nilikuwa nasema hapa kwamba Lunyamila was something else. You only need to read that interview to see how unprofessional and cocky Juma Pondamali was......typical of african players who are uncoached, the idea is to entertain without end product (ndio mambo ya magoli mwatufunga, chenga twawala).

Mkuu, bila ya kunionyesha video ya 70s au early 80s, I wont buy it, especially nikona vituko kama hivi.

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=aYDXkVGpMpc"]Brazil vs Zaire 1974[/ame]​
 
Sawa FMES, historia nzuri. nakubaliana na wewe na mashindano ya UMISETA.
Lakini tayari kwenye thread yako unaongelea uvivu wetu wa mazoezi enzi hizo. Kuhusu Tanzania kwenda Kombe la Africa au All Africa Games sijui, wali qualify vipi (maana am led to believe qualification system was different back then to now)? And who were the footballing nations at the time? Ukute nchi nyingi za Africa hazikuwa organised (coming from colonial rule). Hizo timu za England zilizokuwa zinakuja TZ, je hazikuenda nchi nyingine? Look, lets have a critical analysis and not only one sided.

- Mkuu enzi hizo wachezaji wetu na hasa sisi wapenzi wa mpira, tulidhani talent was good enough, hatukujua kwamba kunahitajika mazoezi makubwa sana kuwa na stamina ya ku-endure speed kwa 90 minutes. Wachezaji kama Sembuli, Omar Kapera, Martin Kikwa, Emmanuel Makaidi, Adam Sabu, kwa standards za kisasa hawa wasingeweza kuruhusiwa kucheza kwa sababu they were overweight pamoja na kwamba walikuwa very good players, mazoezi mgumu na mazito kama ya sasa hayakuwepo ilikuwa zaidi talent na zile zilikuwa ni talent za kweli, maana kumbuka wachezaji wa mpira walikuwa ni wengi sana kwa hiyo ku-make it to the first team ya Yanga, Simba au our National team, haikuwa mchezo mkuu ni lazima iwepo talent!

- Thanks to God, kwamba mchezo wa soccer hauna sheria nyingi sana ngumu kuzielewa ama sivyo Tanzania tungekua tunakuwa disqualified, kama huamini tizama historia ya Riadha na Ngumi ya enzi hizo, mara kwa mara tulikuwa tunashinda lakini tunaishia kushindwa kwa sababu ya kushindwa kufuata sheria, unakuta mwanariadha anaongoza halafu anaanza kuingia line za wengine bila kujua, anapigana ngumi na kushinda lakini hakufuata sheria, ilikuwa ni kitu cha kawaida sana kwetu wa-Tanzania.

- Kuhusu nchi tulizokuwa tukishindana nazo bado mpaka leo ni zile zile zinazoongoza kwenye ulimwengu wa soccer, Ghana, Nigeria, Egypt, Cameroon, Zambia, na Zaire, siku zote hata wao walikuwa wakiongozwa na talents.

- Hizo timu za UK na Brazil, zilizokuwa zinakubali kuja bongo kwanza zote zilikua kwenye ligi za daraja la kwanza nchini mwao, na siku zote walikuwa na sharti moja kwamba hawawezi ku-risk kuwa-expose wachezaji wao wanaowalipa hela nyingi sana kuja kucheza na timu za ugokoni, kabla ya kukubali kuja they demanded some videos, au timu zilipokuwa zinakwenda kucheza nje walituma wawakilishi wao, ndipo walipoweza kukubali kuja, otherwise naomba nikuhakikishie kwamba hizo timu hazikuenda Rwanda, wala Burundi, infact hata Zanzibar tu kwa sababu sio siri kwamba huko kiwango cha mpira kilikuwa chini sana if you will!


Wachezaji wenye potential wapo Tanzania hadi leo hii, we nenda tu kwenye Yosso yoyote au watoto wakicheza mtaani, talent ipo plenty. True, UMISETA was one of the best systems we ever had. Siamini kwamba wachezaji wa zamani were so much better than what we have today. Katika pekua pekua leo hii nimekuta interview ya Juma Pondamali kwenye blog ya bongostarz amemsifia Edibily Lunyamila....kitu ambacho nilikuwa nasema hapa kwamba Lunyamila was something else. You only need to read that interview to see how unprofessional and cocky Juma Pondamali was......typical of african players who are uncoached, the idea is to entertain without end product (ndio mambo ya magoli mwatufunga, chenga twawala). Mkuu, bila ya kunionyesha video ya 70s au early 80s, I wont buy it, especially nikona vituko kama hivi.


- Mkuu sikatai kwamba talents bado zipo, lakini tatizo ni kwamba hawa wachezaji wa sasa, wameshindwa kushinda anything internationally ndipo tofauti yao na wa zamani inapoingia na ninaposimamia kwamba wachezaji wa zamani walikuwa better kuliko wa sasa, kwa sababu under wachezaji wa zamani Tanzania tuliweza kushinda kombe la Challenge, tuliweza kufika Roba na Nusu finali za ubingwa wa Africa, na pia tuliweza kushinda ubingwa wa vilabu East Africa kama mchezo, infact tulifikia uwezo wa kufikia finali za East Africa kwa timu zetu mbili za Tanzania yaani Yanga na Simba, hili wachezaji wa sasa na talents zao bado wameshindwa kabisaa!

- Pondamali ni another great talent wa zamani, yeye ndiye aliyekua kipa wa timu yetu ya taifa iliyoweza kufikia finali ya Africa kwa timu za taifa kule Nigeria, sasa sikatai kwamba Lunyamila was a great talent, lakini swali la msingi ni kwamba ali-accomplish what internationally? Maana Pondamali the record iko wazi.

- Mkuu video sina, isipokuwa ninaamini kwamba record ziko wazi kuhusu accomplishment za wachezaji wa sasa na wa zamani, binafsi siwezi kudai video wakati infahamika wazi kwamba ni miaka mingi sana sasa Tanzania hatujashinda kombe la ubingwa wa Africa Mashariki, wala kufika popote katika mashindano ya Africa, kitu ambacho zamani kilikuwa ni kawaida kwetu kushinda na kufika mbali. Enzi hizo ilikuwa ni mwiko kwetu Tanzania, kufungwa na nchi kama Sudan, Malawi, Mozambique, Rwanda, Burundi, lakini siku hizi kufungwa na hizi nchi ni kawaida sana na tumeikubali.

- Anyways, mkuu thanks for a great debate on our soccer naomba kuweka chini kalamu hapa.

Respect.


FMEs!
 
Sawa FMES, historia nzuri. nakubaliana na wewe na mashindano ya UMISETA.
Lakini tayari kwenye thread yako unaongelea uvivu wetu wa mazoezi enzi hizo. Kuhusu Tanzania kwenda Kombe la Africa au All Africa Games sijui, wali qualify vipi (maana am led to believe qualification system was different back then to now)? And who were the footballing nations at the time? Ukute nchi nyingi za Africa hazikuwa organised (coming from colonial rule). Hizo timu za England zilizokuwa zinakuja TZ, je hazikuenda nchi nyingine? Look, lets have a critical analysis and not only one sided.

Wachezaji wenye potential wapo Tanzania hadi leo hii, we nenda tu kwenye Yosso yoyote au watoto wakicheza mtaani, talent ipo plenty. True, UMISETA was one of the best systems we ever had. Siamini kwamba wachezaji wa zamani were so much better than what we have today. Katika pekua pekua leo hii nimekuta interview ya Juma Pondamali kwenye blog ya bongostarz amemsifia Edibily Lunyamila....kitu ambacho nilikuwa nasema hapa kwamba Lunyamila was something else. You only need to read that interview to see how unprofessional and cocky Juma Pondamali was......typical of african players who are uncoached, the idea is to entertain without end product (ndio mambo ya magoli mwatufunga, chenga twawala).

Mkuu, bila ya kunionyesha video ya 70s au early 80s, I wont buy it, especially nikona vituko kama hivi.


Weee jinga kweli,Tanzania wameingia kombe la Afrika 1980,kwa mtindo huu huu wa mashindano ya kisasa labda kipindi hicho ulikuwa huko kwenu ikombandulu,ulikuwa bado hujakanyaga DSM si unajua wengine mmeletwa kwa ankal.
 
Weee jinga kweli,Tanzania wameingia kombe la Afrika 1980,kwa mtindo huu huu wa mashindano ya kisasa labda kipindi hicho ulikuwa huko kwenu ikombandulu,ulikuwa bado hujakanyaga DSM si unajua wengine mmeletwa kwa ankal.
We Mauza uza kweli, unashindwa argument unaongea pumba. Sasa nikikwambia mi mzaliwa wa Dar utasemaje (and what is so special about Dar you plonker?)? We UMISETA imekufundisha nini zaidi ya matusi (by the way, hata mimi UMISETA niliitwa kambi na sikwenda.....na sijaona bigi dili)?

Nimeuliza makusudi kuhusu system ya qualification. Kasome historia ya kombe la Africa, utaona kwamba hadi 1992, fainali zilikuwa zinachezwa ki-ligi na group mbili 2 za timu nane. Top 2 teams wanaenda straight to semi-final. Siku hizi Africa timu karibia zote, lets say 54 for arguments sake, zinashiriki preliminary rounds....zamani 70s, 80s only about 22 teams did preliminary rounds, zitoe timu 8 zicheze fainali (which means u only had to knock-out someone once or twice to get to the final), which means timu kubwa hazikutani knockout, hadi final competiton yenyewe. Now, ukiangalia system hii utaona Tanzania kufika fainali once, with the cup being played every 2 years is a poor stat and record NOTE: Cameroun wameanza kuwa major players in the 1980s. I am not undermining the achievement at all of 1980. Now wewe mwenye akili Mauza uza, na mkuu FMES, mnaweza kuona qualification siku hizi ni ngumu zaidi (though not an excuse not to do well). Zamani ilikuwa ni knockout system......kitu ambacho hata timu mbovu inaweza kufika mbali kama siku hiyo mmepania. Angali mfano wa mashindano ya FA Cup yanavyokwenda, hadi timu za daraja la 4 zinaweza kutia aibu timu ya Premiership. Siku hizi unaweza kujikuta qualification group na Ghana au Nigeria.

Now, Mauza uza, take your words back of calling me mjinga, cos i) by you not knowing the history of the cup shows that we mjinga kweli ii) I may be younger, but it dont mean i take an argument on face value....chances are kama akili inapimwa darasani, hata huko nitakufunika iii) wewe johny come to town, kuishi Dar ndo unadhani umeona dunia. Hahaaaa samu pipo bwana unigambile kabisa.

Mkuu FMES, thanks for a great argument and history lesson, ila kuwa-discount wachezaji wa siku hizi, inabidi ufanye fair balance. Na ingawaa una argue wachezaji wa zamani wana skill zaidi (kitu ambacho naona illogical, as skills dont jus dissapear from a nation), lakini walikuwa wavivu au wanakosa discipline fulani. Ndio nikasema argument yangu, ndio maana our greats kina Manara hawakufika mbali Ulaya. No notable success whatsoever.........because football is not about skills only.
 
Tupeni list ya majina ya watanzania wanaocheza mpira nje ya Tanzania. Hapo ndio tutaweza kulinganisha.
 
I have always stood by my argument, and the proof is here. It is a FARCE that the teams in the 60s,70s,80s were better.

FMES umetupiga kamba kwamba Tanzania/Tanganyika ilikuwa inatawala Gossage Cup na Challenge Cup (CECAFA). From recent times I know of CECAFA win in 1994. Kabla ya hapo Timu imeshinda 1974.


East and Central African Championship (CECAFA) HISTORY Kongoli hapa kushoto...

History ya Gossage cup from 1926 to 1966
;

Number of Titles (38 (37 tournaments)) Gossage Cup

22 Uganda (1 shared)
12 Kenya (1 shared)
4 Tanzania (includes Tanganyika)

Palmares Challenge Cup (1967 - 1971)
Number of Titles (5)

3 Uganda
2 Kenya

Palmares CECAFA Championship (1973 - 2009)
Number of Titles (32) - (Hapo chini mabano ni runners up)

10 [ 5] Uganda
5 [ 6] Kenya
4 Ethiopia
3 [ 4] Zambia
3 [ 3] Malawi
2 [ 5] Tanzania
2 [ 3] Sudan
1 [ 3] Rwanda
1 [ 2] Zimbabwe
1 Zanzibar
[ 1] Burundi

I am not even going to bother look at the WC or African Nations qualifications as I have already said the 1980 was not impressive because of the qualification system. But I will let you digest the stats yourself even though it is on Wikepedia...........

[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Tanzania_national_football_team"]TAIFA STARS[/ame]

As Jigga Man said "Numbers dont lie"!!
 
1.Juma Kaseja
2.Shadrack Nsajigwa
3.Juma Jabu
4.Salum Sued
5.Nadir Haroub Kanavaro
6. Athuman Idd Chuji
7.Mrisho Ngassa
8.Shaban Nditi
9.Haruna Moshi Boban
10.Mussa Mugosi
11. Mwakingewe


Imekaaje hiyo?Kizazi kipya
 
1.Athumani Mambosasa-If in doubt ask any Egypt's Mehalla el- Kubra 1970's fan.

2. Sunday Manara-First ever Tanzanian footballer to play professional in Europe.

3.Abdallah Kibadeni-Simply King.

4. Gibson Sembuli-Hot shoot Hamish.

5. Maulidi Dilunga-African 11 Captain.

6. Omary Mahadhi-Tanzania One(Original)

7. Zamoyoni Mogella-Golden Boy

8. Gobos-Pioneer

9. Omary Gumbo-Zilipendwa

10. Omary Hussaini-Keegan


Guys,

Everyone will come up with his list, our problem we don't have statistics to justify our selection, sasa kama unataja top ten yako bila kutoa vigezo inakuwa utata.
Kwa mfano tumchukulie Hamis Thobias Gaga, lazima uje na vitu kama hivi
a. Mchezaji kacheza game ngapi za ushindani
b. Ngapi alianza na ngapi kaingia kama sub
c. Kafunga magoli mangapi, na ameassist magoli mangapi katika position yake.
d. Position alizocheza akiwa uwanjani
d. Complete pass ni ngapi, Tackles fyongo ngapi na sahihi ni ngapi
e. Red cards, Yellow etc...

Sasa hapa kila mtu anakuja na list yake kutoa vigezo inakuwa shughuli. kwa hiyo mi naona bila guide tutakuwa tunapoteza muda tu. Labda tungepata mwana JF aliye TFF atueleze kama wana records za hawa wachezaji.

Juzi niliuliza swali dogo tu, Yupi ni Tanzania Premiership Top scorer ever? hatujui hata TFF sidhani kama wana record hizi.

Suggestions:-

TFF anzeni kuweka kumbukumbu, hadi hizi kadi tu huwa zinatela utata mara kwa mara kwa mfano nani ana kadi nyekundu nyingi Simba anayeshika record? (Mnazo lakini sidhani kama zinakidhi viwango vya kimataifa)

Club anzeni pia kuweka zetu pia, fungueni vitengo vya mawasiliano kwa njia ya komputa ICTwatu wapo kibao wa kuwafanyia design na implemtation ya hizo database, ni muhimu sana kwa soccer la kisasa.

Wachezaji binafsi pia anzeni kuweka record zenu, kwa mfano nikimuuliza Kaseja sasa hivi amecheza game ngapi, Clean sheet ngapi tangu aanze kucheza ligi, ngapi anazo alipokuwa yanga, na anazo ngapi muda wote akiwa Simba, ataniambia nimpe muda atafute.
Unapotaka kucheza soka la wenzetu, swali la kwanza utaulizwa ni Umri na Pili ni data hizo zote nilizozitolea mfano as your C.V.

I think its time now to implement ICT in soccer, najua zipo ila siyo strong ki vile.
 
I have always stood by my argument, and the proof is here. It is a FARCE that the teams in the 60s,70s,80s were better.
FMES umetupiga kamba kwamba Tanzania/Tanganyika ilikuwa inatawala Gossage Cup na Challenge Cup (CECAFA).
From recent times I know of CECAFA win in 1994. Kabla ya hapo Timu imeshinda 1974.
As Jigga Man said "Numbers dont lie"!!


- Mkulu Nzoka, nilicosema ni kwamba enzi hizo wechezaji wetu walikuwa na uwezo wa kushinda Challenge na ubingwa wa East Africa, as opposed na wachezaji wa sasa, halafu nikasema tena kwamba wachezaji wa zamani walifika hata robo na nusu finali za vilabu Africa na hata waliweza kufikia finali ya Africa kwa National teams.

- Sasa kinachochekesha ni kwamba umetoa dataz amabzo zinathibitisha maneno yangu kuwa ni kweli, lakini bado hutakikukubali kwamba wachezaji wa sasa wameshindwa kuleta anything, vipi mkuu maana sasa ninashindwa kukuelewa argument yako ni nini hasa, kwani walioshinda hivi vikombe hapa chini ni wachezaji wa sasa au wa zamani mkuu? Acha hizo wewe unaongelea google, wakati sisi tulikuwepo mkuu vipi?



Palmares Gossage Cup

The Gossage Cup was contested between Kenya, Uganda, Tanganyika and Zanzibar. Tanganyika participated since 1945, Zanzibar since 1949. It was sponsored by soap manufacturer William Gossage.

Available data

year winner runners-up venue
1926 Kenya 1-1 2-1 Uganda Nairobi
1927 not held due to hosting dispute
1928 Uganda 4-0 Kenya Kampala
1929 Uganda 5-3 Kenya [aet] Nairobi
1930 Uganda 5-0 Kenya Kampala
1931 Kenya 2-1 Uganda [aet] Nairobi
1932 Uganda 13-1 Kenya Kampala
1933 not held
1934 not held
1935 Uganda 5-1 Kenya Kampala
1936 Uganda 3-1 Kenya Nairobi
1937 Uganda 9-5 Kenya Kampala (in May)
1938 Uganda 3-1 Kenya Nairobi
1939 Uganda 5-2 Kenya Kampala
1940 Uganda 6-3 Kenya Nairobi
1941 Kenya 4-3 Uganda Kampala
1942 Kenya 4-3 Uganda Nairobi
1943 Uganda 2-1 Kenya Kampala
1944 Kenya 2-1 Uganda Nairobi
1945 Uganda 4-1 Kenya Kampala
1946 Kenya 2-1 Uganda Nairobi
1947 Uganda 4-2 Tanganyika Dar es Salaam
1948 Uganda 2-1 Kenya Kampala
1949 Tanganyika 2-0 Kenya Zanzibar
1950 not held
1951 Tanganyika drw 2-1 Kenya Nairobi
1952 Uganda 6-3 Kenya Kampala
1953 Kenya 6-2 Uganda Zanzibar
1954 Uganda drw 4-1 Kenya Nairobi
1955 Uganda 5-1 Tanganyika Jampala
1956 Uganda bt Kenya Dar es Salaam
1957 Uganda bt Kenya Zanzibar
1958 Kenya 2-0 Uganda Nairobi
1959 Kenya Dar es Salaam
1960 Kenya 1-1 Uganda (shared) Kampala
1961 Kenya 2-1 Uganda Mombasa
1962 Uganda Kenya various venues
1963 Uganda 2-1 Kenya Nairobi
1964 Tanzania Kenya Dar es Salaam
1965 Tanzania Uganda Kampala
1966 Kenya Uganda Zanzibar

NB: data in italics are reported conflictingly in sources (reports
in various East African newspapers).

Number of Titles (38 (37 tournaments))

22 Uganda (1 shared)
12 Kenya (1 shared)
4 Tanzania (includes Tanganyika)
Palmares Challenge Cup

year winner runners-up venue
1967 Kenya Uganda Kenya
1968 Uganda Tanzania
1969 Uganda Tanzania Uganda
1970 Uganda Tanzania Zanzibar
1971 Kenya Nairobi

NB: editions in 1965 and 1966 won by Tanzania are sometimes reported but
would appear apocryphical.

Number of Titles (5)

3 Uganda
2 Kenya
Palmares CECAFA Championship

year winner runners-up venue
1973 Uganda 2-1 Tanzania Uganda
1974 Tanzania 1-1 Uganda [5-3pen] Tanzania
1975 Kenya 0-0 Malawi [5-4pen] Zambia
1976 Uganda 2-0 Zambia Zanzibar
1977 Uganda 0-0 Zambia Somalia
1978 Malawi 3-2 Zambia [5-3pen] Malawi
1979 Malawi 3-2 Kenya Kenya
1980 Sudan 1-0 Tanzania Sudan
1981 Kenya 1-0 Tanzania Tanzania
1982 Kenya 1-1 Uganda [5-3pen] Uganda
1983 Kenya 1-0 Zimbabwe Kenya
1984 Zambia 0-0 Malawi [3-0pen] Uganda
1985 Zimbabwe 2-0 Kenya Zimbabwe
1986 not held (Sudan backed out of organisation)
1987 Ethiopia 1-1 Zimbabwe [5-4pen] Ethiopia
1988 Malawi 3-1 Zambia Malawi
1989 Uganda 3-3 Malawi [2-1pen] Kenya
1990 Uganda 2-0 Sudan Zanzibar
1991 Zambia 2-0 Kenya Uganda
1992 Uganda 1-0 Tanzania B Tanzania
1993 not held (Uganda backed out of organisation)
1994 Tanzania 2-2 Uganda [4-3pen] Kenya
1995 Zanzibar 1-0 Uganda B Uganda
1996 Uganda 1-0 Sudan B Sudan
1997 not held
1998 not held (suspension of CECAFA) Rwanda
1999 Rwanda B 3-1 Kenya Rwanda
2000 Uganda 2-0 Uganda B Uganda
2001 Ethiopia 2-1 Kenya Rwanda
2002 Kenya 3-2 Tanzania Tanzania
2003 Uganda 2-0 Rwanda Sudan
2004 Ethiopia 3-0 Burundi Ethiopia
2005 Ethiopia 1-0 Rwanda Rwanda
2006 Zambia 0-0 Sudan
[*] [11-10pen] Ethiopia
2007 Sudan 2-2 Rwanda [4-2pen] Tanzania
2009 Uganda 1-0 Kenya Uganda
2009 Uganda 2-0 Rwanda Kenya


- Mkuu Nzoka wachezaji wa zamani waliweza kushinda atleats 6 times, je wa sasa wameshinda mara ngapi? Si unaona hapo juu ilivyo aibu mkuu?

Respect.


FMEs!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom