wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,173
- 1,126
1.Nikki mbishi
2.Fid q
3.Mwana FA
4.Ngwea
5.Ay
2.Fid q
3.Mwana FA
4.Ngwea
5.Ay
Unajuautofauti was hiphop kweli?au unadhan kila anayerap ni hiphop?ule mwamba wa kaskazini ! ukifuwatiwaa kwa mbaalii na mzee wa kikosi, dogo wa mitego.....huyo ngosha wenu mjinga mjinga muuza sura hata kwenye 50 bora hayupo! na hii ndiyo real hip hop!
Mbona young killer hujasema lolote...??1.Albert mangwair (rip) huyu namkubali hadi kesho .
2.Godzilla ni balaa everybody know.
3.Nikki mbishi hahahaaa huyu jamaa anajijua mwenyewe.
4. Young daresalama anajua sana huyu
5. Young killer Msodoki
Namba 3 ilitakiwa iwe 21. Fid Q
2. R.O.M.A Mkatoliki.
3. The Late Albert Mangweha
4.....
5.....
1.Joh makin
2.Nikki mbixhi
3.SUGU {mb}
4.Fid Q
5.Afande Sele
6.One
7.Chindo man
8.sterio
9.songa
10. lord iiiiiiiizeeeeeeeeeeeee...................
Hapo umebalance wanafuata mashart yote ya hiphop1. Fid q 2. Niki mbishi 3. One incredible 4. Songa 5. B-boy stereo