Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,217
- 6,349
Kampuni nzuri za kufanyia kazi hapa bongo ni zile kampuni ambazo zimejawa na watoto wa vigogo kwa ajili ya maslahi.
vipi makampuni ya simu jamani?
Ooh Lord have mercy
Kwa wanaopenda health-related research Ifakara Health Institute ni pazuri. Malipo si mabaya na wanajitahidi sana ktk career development.
-techoserve
- USAID
-DANIDA
-NORAID
-LAND O` LAKE
-JICA
-BOT
-UNDP
Ebana,ukibahatika kupata kazi kwenye moja ya hzo organization hapo juu,utapiga mkwanja mpaka mama mkwe wako akutamani.
What i know ni kwamba last year nikiwa chuo lecturer wangu wa Industrial economics aliniambia kuna kampuni ipo morogoro inaitwa Alliance One Tobacco Tanzania Ltd inalipa mishahara mikubwa mno, nakumbuka aliongea kitu kama $ 40,000 hiv kwa managerial level. Kama ni hivo hata hawa wa chini watakua wanapata kiasi kikubwa mno. Hii ni kampuni iliyopo chini ya mwavuli wa multi national kampani moja inaitwa ALLIANCE ONE INTERNATIONAL INC. Naskia hata TCC wapo juu wanapata sana faida makampuni ya Tobacco
I quoted my lecturer but if it is not $40 its ok! but at least umeonesha kwamba ni kubwa $25 ni kiasi kukubwa pia kwa mwezi almost milion hamsiniMkuu, hiyo $40k ni kwa mwezi au kwa mwaks. Nafahamu kwamba wakurugenzi (CEOs, MDs) wanalipwa kati ya $20, 000 na $25, 000 kwa mwezi na wanalipiwa gharama nyingine kama shule za watoto, bima, club memberships, n.k.
Hiyo $40, 000 sidhani kama ni mshahara wa mwezi.
Mkuu English hii alafu unadai una MBA nadhani ustahiki kulipwa hata laki tisa, nadhani ndio sababu waliamua kukpunguzia mshahara
Hi
I beg to differ... Barrick gold tena?!!! naona hawa watu walishindwa kunilipa 3.8 M net ( i'm an MBA holder and with almost 8years working experience) while where i was working by then while applied to Barrick i was getting 3.5 M net... Jamani Barrick tena?!! Eti they wnated em to work for them at 2M net......... mhhhh!
Mkuu, hiyo $40k ni kwa mwezi au kwa mwaks. Nafahamu kwamba wakurugenzi (CEOs, MDs) wanalipwa kati ya $20, 000 na $25, 000 kwa mwezi na wanalipiwa gharama nyingine kama shule za watoto, bima, club memberships, n.k.
Hiyo $40, 000 sidhani kama ni mshahara wa mwezi.
Vipi makampuni ya simu jamani?
Mkuu hiyo kasumba ni kwa makampuni yote ya simu?Basi kama unataka kujua namna ukabila ulivyo.basi ni ktk kampuni za simu za mkononi.recruitment,promotion,transfer,n.k vina depends na wewe kabila lako ni lipi!.wana tumia majina mawili kuficha ukabila mfano mtu anaitwa Grace Michael (Kimaro),hilo la tatu kamwe hawatumii. Kazi ni kwako