Nyota Njema
Senior Member
- Nov 18, 2010
- 148
- 16
Sidhani kama kuna watu safi ndani ya CCM, wengi ni wanafiki wanaotafuta mkate wa kila siku tu, hawana mapenzi ya kweli na Tanzania. Wanachofanya kwa sasa ni ghiriba tu kwa wananchi ili waonekane kuwa wana uchungu na matatizo yaliyopo lakini ukweli ni tofauti kabisa.
Wadanganyika tunapaswa kulielewa hili ili tuchukue hatua madhubuti kuinusuru nchi na wala nchi hawa. Bado naikumbuka vema kauli ya Dr. Slaa kuwa ni hatari kuendelea kuiacha nchi mikononi mwa CCM. Mimi siwezi kusahau maneno haya ya busara mpaka nchi itakaporudi mikononi mwa wazalendo!
Wadanganyika tunapaswa kulielewa hili ili tuchukue hatua madhubuti kuinusuru nchi na wala nchi hawa. Bado naikumbuka vema kauli ya Dr. Slaa kuwa ni hatari kuendelea kuiacha nchi mikononi mwa CCM. Mimi siwezi kusahau maneno haya ya busara mpaka nchi itakaporudi mikononi mwa wazalendo!