Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

Acheni hizo. Tanzania haina jeshi la kutisha nchi zaidi ya 120 duniani ikiwemo DRC. Ili kuelewa vema suala hili, soma juu ya kutu kinaitwa GFP- Global Force Power. Bonyeza hapa. Tanzania Military Strength
 
Tanzania inajisifu sana na vita ya ardhini. Lakini pia haina silaha za kisasa za kuiwezesha kushindana.
 
Helikopta za kijeshi hakuna. Cargo planes ni za masafa mafupi tu. Hata za abiria zimewashinda.... Logistic is very poor. Naval force hakuna kitu pamoja na kuwa na bahati ya bahari kubwa.
 
Radarbya nchi tu ili kudhibiti anga hatuna. Sasa hilo jeshi bora Africa mnalirakaje?
 
Halafu jeshi sinnguvu tu. Elimu pia. Zimeanzishwa program nyingi ila hakuna matokeo. Kupiga tu raia wanyonge. Na wanapigwa vizuri kweli. Labda ndo maana wanasema jeshi ni imara......
 
Kenya kuwa kwenye top ten huku Alshabab wanaisakama inaniuma sana
Mkuu pamoja na kwamba nina uelewa mdogo kuhusu hayo mambo as far as geopolitics is concerned, vipi unasemaje kuhusu Misri( Egypt) maana ni mojawapo ya mataifa yenye majeshi bora barani Africa na mashariki ya kati....lakini mbona Islamic state wanakalia maeneo ya Sinai na wanapigana na majeshi ya Egypt??? Na vipi tukisema kuhusu boko haram? Si umeona Nigeria ipo kwenye top ten hapo? Lakini wanapigana na book haram na hakuna dalili za kukidhinda hicho kikundi kwa sasa! Haya angalia ni mataifa mangapi yanapigana na Islamic state? Tena ni Yale makubwa kabisa duniani!
 
Mkuu pamoja na kwamba nina uelewa mdogo kuhusu hayo mambo as far as geopolitics is concerned, vipi unasemaje kuhusu Misri( Egypt) maana ni mojawapo ya mataifa yenye majeshi bora barani Africa na mashariki ya kati....lakini mbona Islamic state wanakalia maeneo ya Sinai na wanapigana na majeshi ya Egypt??? Na vipi tukisema kuhusu boko haram? Si umeona Nigeria ipo kwenye top ten hapo? Lakini wanapigana na book haram na hakuna dalili za kukidhinda hicho kikundi kwa sasa! Haya angalia ni mataifa mangapi yanapigana na Islamic state? Tena ni Yale makubwa kabisa duniani!

yaani umeuliza swali umejijibu mwenyewe.
1. kwanini Misri/Nigeria inashindwa kuwatoa ISIS/boko haram. (hili ni swali zuri)
2. Mataifa makubwa kabisa duniani yanapigana na ISIS lakini bado hawajashinda. (hili ni jibu zuri)
 
Kujumuisha majeshi kama ya DRC, Uganda, Niger, Chad, Zimbabwe hata Kenya na kuiacha Tanzania ni upuuzi uliopitiliza kipimo
 
Tena kwa watu waungwana na wazalendo wanatakiwa kuipuuza, kwani hata haina sifa ya kujadiliwa
 
yaani umeuliza swali umejijibu mwenyewe.
1. kwanini Misri/Nigeria inashindwa kuwatoa ISIS/boko haram. (hili ni swali zuri)
2. Mataifa makubwa kabisa duniani yanapigana na ISIS lakini bado hawajashinda. (hili ni jibu zuri)
Sawa...ila nilikuwa naeleza hayo kutoka kwa yule niliyemquote...by the way...it is OK boss.
 
Unaweza kunipa sababu tatu za kunitukana?

Unaweza kunipa faida tatu ulizopata?

Unaweza kunipa hasara mbili nilizo pata??

Kama huna majibu nakuweka kwenye kundi lilelile. Siwezi kulitaja hapa nisije kuwapa mabasha faida.

CC: Nyani Ngabu msome huyu dogo ambaye kashatembea dunia nzima akashuhudia wanajeshi wakipasua vitofali kwa ngumi.
You are talking with an expert fool!! Napotoshana tu humu na kujaribu kujenga image mbaya kwa jeshi letu. Wewe mjinga kweli kweli. Mdharau kwao ni mtumwa
 
You are talking with an expert fool!! Napotoshana tu humu na kujaribu kujenga image mbaya kwa jeshi letu. Wewe mjinga kweli kweli. Mdharau kwao ni mtumwa
Hata mashoga ni maexperts wa kupumuliwa mgongoni. Sishangai sana.

BTW umefanikiwa kwenda haja kubwa leo?
 
Back
Top Bottom