Joseph
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 3,518
- 1,086
Hujaangalia vizuri,katajwa na wameandika vizuri tu kuwa ilisababisha mauaji makubwambona yule rais wa rwanda hajatajwa?hii list ni crap.
Hujaangalia vizuri,katajwa na wameandika vizuri tu kuwa ilisababisha mauaji makubwambona yule rais wa rwanda hajatajwa?hii list ni crap.
Mbona Che Guevara hayupo kwenye list? Hii list ni feki kabisa coz imehusicha ancient peoples like Julius Caesar na hawa wa siku hizi kama Kennedy wamarekani halafu unadanganya eti top ten! kuna watu wengi sana hujawataja na ni maarufu kuliko hawa uliowaweka hapa
Tanzania, Burundi.....