Top 10 Best secondary schools of all time in Tanzania

Enzi hizo mtu akiingia shule za government tu tayari ana division 111 kwani shule nyingi division 0 na 4 zilikuwa ni chache sana au hakuna kabisa na ukichaguliwa lazima ufanyiwe sherehe na kusafiri ilikuwa kwa warrant, hapo kwenye list kulikuwa na KIBAHA ilikuwa ni shule ya agriculture
Umenikumbusha Kibaha ilikuwa special kwa wale waliofaulu vizuri form four kwenda Form six kwa comb ya CBA.Darasa zima A Level lilikuwaga ni la vipanga watupu enzi hizo.
 
Hakuna cha great skuls wala cha mama ake sijui nini..nyie someni hizo sijui mnaita marian me nasoma changanyikeni unapiga one na mimi napiga one alafu tunakutana facult moja university alafu ndo tunaona nani bora kudadeki..

Kweli kiongozi kuna mazingira mengine mtu anapata one kutokana na kusoma shule ambazo technolojia ipo limited anajikuta anasoma naturally na akilikuta swali analijibu naturally kutumia uzoefu wa alichojifunza shule na kujisomea lakini pia kuna shule zingine unakuta mtu anapiga one kwa kukalilishwa past papers za toka mwaka 1970 mpaka 2010 na ukichanganya watunga mitihani siku hizi wameisha kijana kila swali alishaliona. (hapa ninachotaka kusema kuna ambao wanafaulu kwa kukalili maswali na majibu ya mitiani iliyopita ambayo kwa miaka ya karibuni kuna mpaka vitabu vya maswali na majibu ambavyo zamani vilikuwa vinatumiwa na walimu tu na kuna ambao kutokana na mazingira wanaoishi wana attempt swali moja kwa moja na anafaulu). Na ndio maana vijana wanaomaliza shule za siku hizi unakuta amepiga point kali lakini ukikaa nae unapiga nae story (general knowledge) unakuta yupo shallow.
 
Umenikumbusha Kibaha ilikuwa special kwa wale waliofaulu vizuri form four kwenda Form six kwa comb ya CBA.Darasa zima A Level lilikuwaga ni la vipanga watupu enzi hizo.

Those days elimu ilikuwa juu, pia nimekumbuka kwa watu wa biashara kulikuwa na Shycom (A-level) ambayo imetoa product nyingi sana katika masuala ya accounts, enzi hizo kulikuwa na shule za ufundi, biashara na kilimo bila kusahau shule za kijeshi, watu walikuwa wanajisomea wenyewe pasipo tuition, ukiwa una shida unaenda kwa mwanafunzi ambae amekuzidi kidato anakupiga shule ya nguvu ambapo siku hizi watu wanasoma maswali na majibu ya mitihani mbalimbali iliyopita na si kujifunza topic mbalimbali na ndio maana ukimchukua mtu aliemaliza shule enzi hizo mpaka sasa anakumbuka vitu wakati aliemaliza miaka mitatu iliyopita alishasahau kutokana na mbinu wanazotumia sasa na zilizotumika enzi hizo
 
Tatizo wanaobishania humu ni watoto walisoma miaka ya juzi kuanzia miaka ya elfu mbili.Sisi tuliosoma enzi hizo za Mwalimu tunazijua shule ambazo ukisoma kila mtu anakukubali na zilikuwa zinajulikana kama shule za vipaji maalumu.Nikianza kwa kuzitaja kulikuwa na shule maalumum kama;TABORA BOYS,TABORA GIRLS,MAZENGO,MOSHI TECHNICAL,TANGA TECHNICAL,IFUNDA TECHNICAL,MTWARA TECHNICAL NA RUVU BOYS. Anayebisha atakuwa ni kati ya wale waliosomo miaka ya hivi karibuni kuanzia miaka ya 2000 na kuendelea,Kulikuwa hakuna cha Mzumbe wala Ilboru wakati huo.

Hapo umeacha Msalato
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Those days elimu ilikuwa juu, pia nimekumbuka kwa watu wa biashara kulikuwa na Shycom (A-level) ambayo imetoa product nyingi sana katika masuala ya accounts, enzi hizo kulikuwa na shule za ufundi, biashara na kilimo bila kusahau shule za kijeshi, watu walikuwa wanajisomea wenyewe pasipo tuition, ukiwa una shida unaenda kwa mwanafunzi ambae amekuzidi kidato anakupiga shule ya nguvu ambapo siku hizi watu wanasoma maswali na majibu ya mitihani mbalimbali iliyopita na si kujifunza topic mbalimbali na ndio maana ukimchukua mtu aliemaliza shule enzi hizo mpaka sasa anakumbuka vitu wakati aliemaliza miaka mitatu iliyopita alishasahau kutokana na mbinu wanazotumia sasa na zilizotumika enzi hizo
Walimu walikuwa wanajituma.Mwalimu anamalizia kipindi mwenzake anamsubiri nje ya darasa aingie naye aanze kufundisha.Walimu wlikuwa wanafurahi wanafunzi wao wakifanya vizuri.
 
Walimu walikuwa wanajituma.Mwalimu anamalizia kipindi mwenzake anamsubiri nje ya darasa aingie naye aanze kufundisha.Walimu wlikuwa wanafurahi wanafunzi wao wakifanya vizuri.

Kwa waliobahatika kusoma masomo ya sayansi kulikuwa na Laboratory Technician ambae ukipigwa pindi na mwalimu ukiwa library anaku-support kwenye practical
 
Hapo umeacha Msalato

Msalato unanikumbusha enzi zile walikuwa ni ma-partner na mazengo basi kukiwa na disco bus linatumwa kuchukua warembo japokuwa walikuwa wanavaa uniform na mwisho wa disco ni saa 12 ilikuwa burudani tosha
 
Enzi zetu hizo kufaulu ilikuwa inatolewa kwa mgawo; nakumbuka mwaka niliomaliza shule ya msingi, wilaya yetu iligawiwa nafasi hamsini tu za kufaulisha. Mie mwenyewe nilishia kwenda private na nilifanya vizuri tu
 
  • Thanks
Reactions: SMU
enzi zetu hizo kufaulu ilikuwa inatolewa kwa mgawo; nakumbuka mwaka niliomaliza shule ya msingi, wilaya yetu iligawiwa nafasi hamsini tu za kufaulisha. Mie mwenyewe nilishia kwenda private na nilifanya vizuri tu
bongolala
 
lakini ilikuwa sifa kusoma, government school, maana yake ni kwamba umafaulu kuliko wengine ndio maana ukachaguliwa! Sure we were looking down to those who went to private school (kasoro seminaries na intl schools) hata kama ni kaka yako wa tumbo moja.

unachokisema ni kweli kabisa Kaunga, kwanza kulikuwa na matabaka kama ifuatavyo;
1. Shule za Vipaji maalum
2. Shule za Ufundi
3. Shule za Bweni (Jinsia moja)
4. Shule za Bweni Mchanganyiko
5. Shule za kutwa
6. Shule za binafsi

Jinsi unavyoelekea chini ndio jinsi ujiko ulivyokuwa unapungua...kumbuka shule kama Ilboru na Kibaha kuna miaka ziliondolewa hadhi ya kuwa vipaji maalum, ile hadhi ya kitaaluma nayo iliporimoka
 
Tatizo wanaobishania humu ni watoto walisoma miaka ya juzi kuanzia miaka ya elfu mbili.Sisi tuliosoma enzi hizo za Mwalimu tunazijua shule ambazo ukisoma kila mtu anakukubali na zilikuwa zinajulikana kama shule za vipaji maalumu.Nikianza kwa kuzitaja kulikuwa na shule maalumum kama;TABORA BOYS,TABORA GIRLS,MAZENGO,MOSHI TECHNICAL,TANGA TECHNICAL,IFUNDA TECHNICAL,MTWARA TECHNICAL NA RUVU BOYS. Anayebisha atakuwa ni kati ya wale waliosomo miaka ya hivi karibuni kuanzia miaka ya 2000 na kuendelea,Kulikuwa hakuna cha Mzumbe wala Ilboru wakati huo.

Credit kwenu wazee, u did it without wikipedia and google hahahahahahahahaha
 
unachokisema ni kweli kabisa Kaunga, kwanza kulikuwa na matabaka kama ifuatavyo;
1. Shule za Vipaji maalum

Hizo shule za vipaji maalumu mpaka sasa sijaona matunda ya hivyo so called vipaji maalumu.

Kwanza sijui hata walikuwa wanatumia vigezo gani kuamua kuwa huyu ana kipaji maalumu na yule hana.

Maana baadhi ya hao waliosoma hizo shule (hivi kwanza zilikuwa ngapi?) huku uraiani mbona ni watu wa kawaida sana...

Nani unayemjua wewe aliyesoma hizo shule ambaye kweli kadhihirisha kuwa ana kipaji maalumu ambacho wengine hawana au ambacho ni wachache sana wanacho?

Tambaza na Azania nazo zilikuwa ni shule za vipaji maalumu?
 
Umbwe.....ilikua haikosekana top ten, hadi mwanzoni mwa miaka ya tisini.
 
Ilikuwa aibu kusema unasoma shule ya private?

Ndiyo kwanza nayasikia leo hayo maana mimi nimesoma private na sijui hata mmoja niliyesoma naye ambaye alikuwa anaona aibu.

Sasa kama you were both naked mtaonaje aibu? Wewe si ulishasema you were not doing well in school? Kufaulu day school na kusoma private was a really big shame hata kama babako anazo.
 
Anayebisha kama tbrboys,kibaha,mzumbe,ilboru,msalato,kilakala,tbrgirls kwamba sio vipaji maalumu basi huyo ni mwendawazimu
 
What i meant was, you wouldnt notice it becoz you were too deep in:nono:

If you felt a really 'big' shame that doesn't mean everybody else did.

Or if you think other people felt a really 'big' shame that doesn't mean everybody else did.

You could have just been hallucinating that way and thought everybody else felt a really 'big' shame when the fact of the matter is some didn't.
 
Back
Top Bottom