Dr.Chichi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 2,394
- 631
My dear michelle,most of us guys mara nyingi hatujali makosa uliyotenda huko nyuma.tunaelewa kuwa binadamu lazima atende kosa ili ajifunze kwahiyo ondoa wasiwasi ila ishu inakuja mtu anapokuwa na upendo mwingi na upole,mwenza wake anaharibu kwa kuleta dharau na kiburi.muheshimu,kuwa mwaminifu and never hurt him.sisi ambao ni bad boys zamani tulikuwa kama huyo jamaa yako ila wapenzi wetu walitudharau wakatutenda ndo maana we are now badboys