Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
- Thread starter
- #81
Ngumi zangu ni nyepesi usoni (japo utaumia lakini si sana - nitaumizaje wa ubani halafu kesho nilazimike kutoa pesa kumpeleka hospitali?) SIO KAMA YALE MAWE YA TARIME! Kwa hiyo usihofu - no need of "binduki!
una akili sana,nimependa hapo pink.....nitakuja kama nilivyo,hizo ngumi za usoni zinavumilika kabisaaa!!!