Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,263
Boss anadai anataka mwanamke ngangari na sio mlaini kama konokono ukimmwagia chumvi tu anayeyuka bila ubishi!!Dearest,huyo the Boss haeleweki anapenda sampuli ipi....soma comment yake ya wanawake wa mombasa....em isome halafu tupange....l.o.l