apana uyu amekuja kufanya confilct resolution n pc making
hajaja kwa mastress...sawa dia?
Ila mwambie awe makini......:frusty::frusty::frusty:...ama ntampelekea mungiki...
apana uyu amekuja kufanya confilct resolution n pc making
hajaja kwa mastress...sawa dia?
Ila mwambie awe makini......:frusty::frusty::frusty:...ama ntampelekea mungiki...
Nawatakia Wikiendi Njema
Leo nimekumbuka muziki wa EMINEM - And I did not mean to hurt anyone!
Wakaazi wa Tegeta-Bunju : Leo naazia MADRID na by saa sita usiku nitakuwa KingStar!
See Ya
Orait Nimekusamehe
Taratibu FP!!!
Mambo lakini?
ha haaaaaaaaaaaa, nauliza tu rafiki, maana haya mambo!
haya mambo yana wenyewe mimi siyo mwenyewe!
si ulililia sana hiyo nafasi? mpaka ukamchakachua The Finest! labda yeye angeweza
FP please! Ile nafasi bado ipo intact - hii thread has nothing to do with! And I feel member wameichukulia kuwa "Things are falling apart"!