gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
ahaaa we yako ipo shalow sana hata 1000 bora haipo? kuna vitu usipime? mtu anadai ni mshenga wa obama
katuma na cheti cha ndoa cha obama eti nione signature yake
ni Mkenya?
Yuko single?
ahaaa we yako ipo shalow sana hata 1000 bora haipo? kuna vitu usipime? mtu anadai ni mshenga wa obama
katuma na cheti cha ndoa cha obama eti nione signature yake
mtataka ushahidi
mambo live bwana
Hahaha! Mi nataka kuweka ile yako uliyonitumia hati ya nyumba. Naomba consent basi...