Watu wanapagawa na picha tuu hapo
Sijui wakikuona live itakuwaje
Waache wajigonge wakati wewe umetulia tuu una mtu wako wa karibu
hebu weka
Invisible bado yupo kwang, kesho ndio namruhusu.
Admin wamekataza kuweka mazungumzo ya PM hadharani.
Hilo haswaaaa ndilo linalosababisha mpaka hizo attachment za vyeti kwa smile...:biggrin:
Sijaona hapa
Napitia pitia tuu
Kongosho habari yako
Nzuri Mr. Rocky
Mie roho juu juu sasa hivi
Anataka kutuvua msuli hadharani
Niliambatanisha hadi audited financial statement
Na memorundum and article of association
Nzuri Mr. Rocky
Mie roho juu juu sasa hivi
Anataka kutuvua msuli hadharani
Niliambatanisha hadi audited financial statement
Na memorundum and article of association
kiukweli mimi kama msichana nakutana na tongozo nyingi sana,
ila hizi za jf daaaah nazikubali
kweli hili ni jukwaa la great thinkers.
watu wanajua kupanga mistari na vina bwana
tongozo la page 3 hadi attachment ya vyeti hadi cha phd
si mchezo.
invisible naruhusiwa kuonyesha sample kama 20 hapa za tongozo nilizozikubali kuwa zipo juu kwa ubora?
nadhani watu hapa wamepitia international association ya watongozaji duniani na wakawa certified proffesional wa kutongoza humu
endeleeni kunipa mistari who knows ipo siku nitaachia
WL picha hizi zinapagawisha watu mbaya
Yaani mtu anaona Avatar tuu amashamuimagine Smile yuko the same kama ilivyo picha hapo
Yaani ni balaa
watu wanaweka hadi ticket za ndege jamani