jambo1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 241
- 29
Wadau nalileta kwenu hili...!
Huyu mtangazaji ana matatizo gani..Maana kwenye kipindi cha magazeti anapenda sana kupotezea habari zinazoiponda Serikali..Mfano leo Hakusoma kabisa habari kubwa kwenye Tanzania daima inayohusu kuanguka kwa JK Pale jangwani...!
Hana Weledi kabisa yaani mi namchukia mno..na kujipendekeza kwake Serikalini ndo kumepelekea kupigwa chini TASWA...!
Huyu mtangazaji ana matatizo gani..Maana kwenye kipindi cha magazeti anapenda sana kupotezea habari zinazoiponda Serikali..Mfano leo Hakusoma kabisa habari kubwa kwenye Tanzania daima inayohusu kuanguka kwa JK Pale jangwani...!
Hana Weledi kabisa yaani mi namchukia mno..na kujipendekeza kwake Serikalini ndo kumepelekea kupigwa chini TASWA...!