eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,654
- 13,796
Kwa muda sasa nimekuwa nikifanyia kazi toleo hili jipya la Kijitabu cha Mwalimu cha "Uongozi wetu na hatima ya Tanzania". Ni matumaini yangu wale waliopata shida kuelewa toleo la awali lilivyo na wageni kabisa watapata nafasi ya kujisomea kijitabu hiki ambacho kingekuwa ni lazima kwa wanafunzi wetu wote (kuanzi ngazi za chini hadi za juu kusoma.
View attachment 9488
Aksante bwana M. M. M. kwa kutupa kitabu chenye manufaa makubwa. Inatia moyo kuona vijana wa kizazi kipya wanamuenzi mwalimu J. K. Nyerere kuliko wazee ambao walikuwa karibu naye. Pia inatia moyo kuona kuna watu (kizazi kipya) wanafanya jitihada kuokoa nchi yetu nzuri Tanzania toka mikono ya makuwadi wa ubepari na ubeberu (licha ya kuwa hawajijui kuwa wanafanya ukuwadi kwa watu wa magharibi).
UJUMBE: "Wanaotaka Kumuua Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Hawatafanikiwa Kamwe" M. M. Mwanakijiji.