Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Kwa muda sasa nimekuwa nikifanyia kazi toleo hili jipya la Kijitabu cha Mwalimu cha "Uongozi wetu na hatima ya Tanzania". Ni matumaini yangu wale waliopata shida kuelewa toleo la awali lilivyo na wageni kabisa watapata nafasi ya kujisomea kijitabu hiki ambacho kingekuwa ni lazima kwa wanafunzi wetu wote (kuanzi ngazi za chini hadi za juu kusoma.
Toleo la awali lilikuwa na cover hii:
Toleo la awali lilikuwa na cover hii: