Toka ukerewe: Serikali kununua nyumba ya msekwa kwa ajili ya kufikia viongozi wakubwa wa kitaifa...

only83

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
5,343
2,525
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM, Pius Msekwa anatarajia kuiuzia Serikali ya Wilaya ya Ukerewe nyumba yake iliyo katika eneo la Bomani mjini Nansio ambayo imekuwa ikitumiwa na viongozi wa ngazi ya kitaifa wanaokwenda wilayani humo kwa ziara za kikazi. Uamuzi huu umetangazwa leo na mkuu wa wilaya hiyo ndugu Mary Tesha wakati wa kuwakilisha taarifa ya maendeleo ya wilaya hiyo mbele ya waziri mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda anayeendelea na ziara ya siku saba mkoani Mwanza. Mkuu wa wilaya aliendelea kusema kuwa wamepata nyumba mbili ambazo wanadhani zitafaa kuwa makazi ya viongozi wa kiserikali hasa wa ngazi za juu wanapofika Ukerewe..Moja ni ya Mzee Msekwa na nyingine ni ya Masumbuko Mtani.

Mkuu huyo wa wilaya aliendelea kusema kuwa mwaka 2010 wakati JK akiwa ziarani huko Ukerewe aliagiza kujengwa kwa nyumba mpya ya mkuu wa wilaya, lakini bahati mbaya fedha ya mgao haikutosha.

My take:

Hivi ni kweli Serikali imeshindwa kujenga nyumba mpaka inunue toka kwa wananchi wake? Hii serikali ni dhaifu kiasi gani? Yani imezidiwa umaskini na wananchi wake. Tanzania ndio nchi ya kwanza ambayo raia wake wana pesa kuliko nchi yenyewe. Aibu kwa hii serikali.
 
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM, Pius Msekwa anatarajia kuiuzia Serikali ya Wilaya ya Ukerewe nyumba yake iliyo katika eneo la Bomani mjini Nansio ambayo imekuwa ikitumiwa na viongozi wa ngazi ya kitaifa wanaokwenda wilayani humo kwa ziara za kikazi. Uamuzi huu umetangazwa leo na mkuu wa wilaya hiyo ndugu Mary Tesha wakati wa kuwakilisha taarifa ya maendeleo ya wilaya hiyo mbele ya waziri mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda anayeendelea na ziara ya siku saba mkoani Mwanza. Mkuu wa wilaya aliendelea kusema kuwa wamepata nyumba mbili ambazo wanadhani zitafaa kuwa makazi ya viongozi wa kiserikali hasa wa ngazi za juu wanapofika Ukerewe..Moja ni ya Mzee Msekwa na nyingine ni ya Masumbuko Mtani.

Mkuu huyo wa wilaya aliendelea kusema kuwa mwaka 2010 wakati JK akiwa ziarani huko Ukerewe aliagiza kujengwa kwa nyumba mpya ya mkuu wa wilaya, lakini bahati mbaya fedha ya mgao haikutosha.

My take:

Hivi ni kweli Serikali imeshindwa kujenga nyumba mpaka inunue toka kwa wananchi wake? Hii serikali ni dhaifu kiasi gani? Yani imezidiwa umaskini na wananchi wake. Tanzania ndio nchi ya kwanza ambayo raia wake wana pesa kuliko nchi yenyewe. Aibu kwa hii serikali.

"Tulianza na MUNGU, tunaendelea na MUNGU, tutamaliza na MUNGU"
Movement For Change (M4C), Vua GAMBA vaa GWANDA

:A S 101:
 
waache wapeane hela...nyumba ya sh million 200 mtasikia iliuzwa kwa billion 1...ndo bongo hiyo
 
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM, Pius Msekwa anatarajia kuiuzia Serikali ya Wilaya ya Ukerewe nyumba yake iliyo katika eneo la Bomani mjini Nansio ambayo imekuwa ikitumiwa na viongozi wa ngazi ya kitaifa wanaokwenda wilayani humo kwa ziara za kikazi. Uamuzi huu umetangazwa leo na mkuu wa wilaya hiyo ndugu Mary Tesha wakati wa kuwakilisha taarifa ya maendeleo ya wilaya hiyo mbele ya waziri mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda anayeendelea na ziara ya siku saba mkoani Mwanza. Mkuu wa wilaya aliendelea kusema kuwa wamepata nyumba mbili ambazo wanadhani zitafaa kuwa makazi ya viongozi wa kiserikali hasa wa ngazi za juu wanapofika Ukerewe..Moja ni ya Mzee Msekwa na nyingine ni ya Masumbuko Mtani.

Mkuu huyo wa wilaya aliendelea kusema kuwa mwaka 2010 wakati JK akiwa ziarani huko Ukerewe aliagiza kujengwa kwa nyumba mpya ya mkuu wa wilaya, lakini bahati mbaya fedha ya mgao haikutosha.

My take:

Hivi ni kweli Serikali imeshindwa kujenga nyumba mpaka inunue toka kwa wananchi wake? Hii serikali ni dhaifu kiasi gani? Yani imezidiwa umaskini na wananchi wake. Tanzania ndio nchi ya kwanza ambayo raia wake wana pesa kuliko nchi yenyewe. Aibu kwa hii serikali.

Hivi ile sheria ya manunuzi inayokataza 'Used' ni magari tu?Dhaifu square!
 
Tuwekee picha hapa ili nyumba ikishanunuliwa tufanye uwiano wa fedha zetu na thamani ya jengo lenyewe yasije yakajirudia yale ya rada yaani quotation na manunuzi zilichanganywa kwa bahati mbaya!
 
...pambafy kabisa hawa. Mmeshindwa kutumia wafungwa wa Butimba kufyatua matofali ya kujenga nyumba kubwa ya DC yenye rest house, lakini mnawatumia hao hao wafungwa kuwajengea nyumba zenyu !!
Ni wizi tuu, hiyo muzee ina nyumba kibao sasa amejua anakaribia saa 6 usiku ndo anaanza miradi hii ya kujipigia pasi mwenyewe. Tsh ngapi mtanunua tuambieni tuone kama hazitoshi kujenga nyumba mpya...!! Huu ni ufisadi na ni Tz tu unaweza ona madudu kama haya....!!
 
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM, Pius Msekwa anatarajia kuiuzia Serikali ya Wilaya ya Ukerewe nyumba yake iliyo katika eneo la Bomani mjini Nansio ambayo imekuwa ikitumiwa na viongozi wa ngazi ya kitaifa wanaokwenda wilayani humo kwa ziara za kikazi. Uamuzi huu umetangazwa leo na mkuu wa wilaya hiyo ndugu Mary Tesha wakati wa kuwakilisha taarifa ya maendeleo ya wilaya hiyo mbele ya waziri mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda anayeendelea na ziara ya siku saba mkoani Mwanza. Mkuu wa wilaya aliendelea kusema kuwa wamepata nyumba mbili ambazo wanadhani zitafaa kuwa makazi ya viongozi wa kiserikali hasa wa ngazi za juu wanapofika Ukerewe..Moja ni ya Mzee Msekwa na nyingine ni ya Masumbuko Mtani.

Mkuu huyo wa wilaya aliendelea kusema kuwa mwaka 2010 wakati JK akiwa ziarani huko Ukerewe aliagiza kujengwa kwa nyumba mpya ya mkuu wa wilaya, lakini bahati mbaya fedha ya mgao haikutosha.

My take:

Hivi ni kweli Serikali imeshindwa kujenga nyumba mpaka inunue toka kwa wananchi wake? Hii serikali ni dhaifu kiasi gani? Yani imezidiwa umaskini na wananchi wake. Tanzania ndio nchi ya kwanza ambayo raia wake wana pesa kuliko nchi yenyewe. Aibu kwa hii serikali.
only83 haya ndio mathara ya sheria ya manunuzi ya umma iliyorekebishwa ili kuruhusu kununua vituu vikukuu. Kwani hiyo pesa ya kununua nyumba iliyotumika serikali kupita wakala wake wa ujenzi hawawezi kujenga?
 
Last edited by a moderator:
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM, Pius Msekwa anatarajia kuiuzia Serikali ya Wilaya ya Ukerewe nyumba yake iliyo katika eneo la Bomani mjini Nansio ambayo imekuwa ikitumiwa na viongozi wa ngazi ya kitaifa wanaokwenda wilayani humo kwa ziara za kikazi. Uamuzi huu umetangazwa leo na mkuu wa wilaya hiyo ndugu Mary Tesha wakati wa kuwakilisha taarifa ya maendeleo ya wilaya hiyo mbele ya waziri mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda anayeendelea na ziara ya siku saba mkoani Mwanza. Mkuu wa wilaya aliendelea kusema kuwa wamepata nyumba mbili ambazo wanadhani zitafaa kuwa makazi ya viongozi wa kiserikali hasa wa ngazi za juu wanapofika Ukerewe..Moja ni ya Mzee Msekwa na nyingine ni ya Masumbuko Mtani.

Mkuu huyo wa wilaya aliendelea kusema kuwa mwaka 2010 wakati JK akiwa ziarani huko Ukerewe aliagiza kujengwa kwa nyumba mpya ya mkuu wa wilaya, lakini bahati mbaya fedha ya mgao haikutosha.

My take:

Hivi ni kweli Serikali imeshindwa kujenga nyumba mpaka inunue toka kwa wananchi wake? Hii serikali ni dhaifu kiasi gani? Yani imezidiwa umaskini na wananchi wake. Tanzania ndio nchi ya kwanza ambayo raia wake wana pesa kuliko nchi yenyewe. Aibu kwa hii serikali.

J.K. naye alishawahi kulala pake kwa Msekwa mnamo 2010; Mkuu wa Wilaya kipindi kile Mama Queen Mlozi, alihangaika sana kupata sehemu nzuri ambapo Bw. Mkubwa ange dozi, lakini hatimaye Msekwa aliokoa jahazi
 
J.K. naye alishawahi kulala pake kwa Msekwa mnamo 2010; Mkuu wa Wilaya kipindi kile Mama Queen Mlozi, alihangaika sana kupata sehemu nzuri ambapo Bw. Mkubwa ange dozi, lakini hatimaye Msekwa aliokoa jahazi

Hivi kwani zile Pesa Msekwa alizokuwa anadaiwa na serikali za matibabu ya mtoto wake London alishalipa? Mara ya mwisho nakumbuka alipoulizwa alisema "hakujua kama alitakiwa kulipa" Kama nakumbuka vizuri hazikuwa pesa nyingi ukizingatia hakuchajiwa interest; however pesa ni pesa tu, hivyo tunategemea atakumbushwa kulipa au zikatwe huko huko kwenye pesa za nyumba:confused2:
 
Hivi kwani zile Pesa Msekwa alizokuwa anadaiwa na serikali za matibabu ya mtoto wake London alishalipa? Mara ya mwisho nakumbuka alipoulizwa alisema "hakujua kama alitakiwa kulipa" Kama nakumbuka vizuri hazikuwa pesa nyingi ukizingatia hakuchajiwa interest; however pesa ni pesa tu, hivyo tunategemea atakumbushwa kulipa au zikatwe huko huko kwenye pesa za nyumba:confused2:

:focus:
 
Back
Top Bottom