Toka ujamaa na kujitegemea hadi unyama na kujimegea

A-town

JF-Expert Member
Oct 25, 2011
494
169
Wana jamvi
Mimi naona giza tupu kuhusu miaka 50 ya uhuru yani mpaka leo tunazungumzia kuthubutu wakati wenzetu kama india historia inaonesha tulikuwa sawa kimaendeleo kipindi flani. Ninachoona ni kwamba hatua kubwa tuliyopiga kama taifa ni kutoka kwenye mfumo wa ujamaa na kujitegemea hadi mfumo wa unyama na kujimegea. Serikali imeingiza siasa kila mahali mpaka haitambui tena kipaumbele ni kipi,mfano wakulima hawa hawa wadogo wamekuwa wakilima kwa nguvu zao hizo ndogo na kuvuna walichokosa kwa kuanzia ni soko utakuta matunda yanaozea shambani msimu wa mavuno lakini super market zimejaa juice toka nchi za nje kwanini pasijengwe kiwanda cha kusindika matunda nk. Hivi kweli serikali ina nia ya dhati ya kuleta maisha bora?
 
Mkuu nchi hii haina serikali ina wabakaji wa demokrasia tu.
Wamethubutu kuwaibia wadanganyika kwa miaka 50, na sasa wanasonga mbele kuwaibia kwa miaka mingine 50.
 
Wana jamvi
Mimi naona giza tupu kuhusu miaka 50 ya uhuru yani mpaka leo tunazungumzia kuthubutu wakati wenzetu kama india historia inaonesha tulikuwa sawa kimaendeleo kipindi flani. Ninachoona ni kwamba hatua kubwa tuliyopiga kama taifa ni kutoka kwenye mfumo wa ujamaa na kujitegemea hadi mfumo wa unyama na kujimegea. Serikali imeingiza siasa kila mahali mpaka haitambui tena kipaumbele ni kipi,mfano wakulima hawa hawa wadogo wamekuwa wakilima kwa nguvu zao hizo ndogo na kuvuna walichokosa kwa kuanzia ni soko utakuta matunda yanaozea shambani msimu wa mavuno lakini super market zimejaa juice toka nchi za nje kwanini pasijengwe kiwanda cha kusindika matunda nk. Hivi kweli serikali ina nia ya dhati ya kuleta maisha bora?

Duh Mkuu hilo nalo neno!!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom